Home of AC Milan, Official Thread

Baada ya kuwachapa Lazio nyumbani kwao goli 3...sasa anasubiriwa Atalanta
 
hivi stephano el sharaaway mmemtoa kwa mkopo huko masseile???
 
Mmejifia nyie saizi mmebaki historia tu


Soka bila historia halinogi na wala halina maana...ndio maana tunao leo hii manguli wanaokumbukwa kama Baggio, Gullit, George Wear, Ancelotti, Maldini, Baresi,
 
Mshambuliaji mario balotelli yupo kwenye msongo wa mawazo baada ya kuambwa kuwa ajiandae na kisu cha korodani...
 
Former Brazilian striker Ronaldo has heaped praised on former AC Milan captain Paolo Maldini labelling him as the toughest defender he ever faced.
 
Happy birthday my lovely team AC Milan...sisi ni mabingwa wa milele
 
miaka 116 tumetimiza...
tukiwa na makombe ya kimataifa mengi zaidi ya vilabu vyote vya German, Italy, England, France, Holland na hata Spain.

ndio timu iliowahi kusajili nyota weengi ulimwenguni.

hakika nitakupenda daima Milan wangu. nilikuwa na wewe, nipo na wewe na nitakufa nikikushangilia wewe.

penye huzuni nipo na wewe na penye faraja tutakuwa wote pia.

sijawahi kuwaza kukukana panapotukutanisha watu wa Soka, mara zote nimesimama kidali wazi huku nikipaza sauti kueleza mafanikio yako ya Soka Milan wangu.
hakika nimejivunia kuwa na wewe.


kutoka kwa mpendwa wako
Gang Chomba...
 
AC Milan coach Sinisa Mihajlovic believes M?Baye Niang still has plenty of growth ahead following their Coppa Italia win over Sampdoria. The Frenchman and Carlos Bacca were on target in defeating Mihajlovic?s former employers for the second time this season.
 
Sampdoria crashed out of the Coppa Italia after they were defeated 0-2 by AC Milan at the Stadio Luigi Ferraris.
 
AC Milan coach Sinisa Mihajlovic has no fear of losing his job despite Milan?s inconsistent form this season, ahead of their game against his former club Sampdoria
 
AC Milan coach Sinisa Mihajlovic holds the key to Kevin-Prince Boateng earning a contract to re-join the Rossoneri, according to the player?s agent.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…