Home of AC Milan, Official Thread

Home of AC Milan, Official Thread

juve wanaitafuta mpira kwa tochi, koloboi, kalabai na chemli...kwi kwi kwi
 
montolivo kamfunika Pirlo na Turubai...mzee wawatu hata haonekani...
 
Ac Milan wamembahatisha tu Juventus chama langu la Italy.
 
Ac Milan wamembahatisha tu Juventus chama langu la Italy.


Pazi hata mimi ningekaa kipa wa Milan sidhani kama Juve mngeshinda...

Fine primo tempo, il Milan avanti 1-0 con gol su rigore
di Robinho (30')
 
Yan inter na hao Ac milan mafanikio yao msimu huu ni kuifunga JUVENTUS TU. Tehetehe, Mtafungwa na timu ndogo mwaka huu hadi mkome. Inter 0- Parma1. Na hao inter hadi January inaisha wanamechi nyepesi moja tu na Pescara. Forza Juventus, najua mechi ngumu kwetu ni dhidi ya CAGLIARI tu.
 
ikicheza ugenini klabu ya AC Milan wameweza kuichapa klabu ya Catania kwa jumla ya Magoli 3-1.
Magoli ya AC Milan yaliwekwa kimiani na mshambuliaji hatari Stephan Elshaarawy kisha Kelvin Prince Boateng akafunga goli la pili na goli la 3 likafungwa tena na Elshaarawy wakati lile la kufutia machozi la Catania lilifungwa na Nicola Lecogretaglie.

Kwa ushindi huu sasa Milan wanajikusanyia jumla ya pointi 21 na kushika nafasi ya 7 huku wakiwa nyuma kwa pointi 11 dhidi ya vinara Juve ambao wiki iliopita walikalishwa kwenye kibao cha mbuzi na kukubali kupigwa bao moja dhidi ya watemi hawa wa jiji la Milan.

Forza Milan
 
Ikifika saa sita unusu usiku tofauti itakua ni point 14. Forza Juventus. Yan mkuu chomba msimu huu lazima uzi tuubadirishe. Najua viper atafanya hivyo. '' WILL AC MILAN QUALIFY FOR THE UEFA CHAMPIONS LEAGUE 2013/2014''
 
ikicheza ugenini klabu ya AC Milan wameweza kuichapa klabu ya Catania kwa jumla ya Magoli 3-1.
Magoli ya AC Milan yaliwekwa kimiani na mshambuliaji hatari Stephan Elshaarawy kisha Kelvin Prince Boateng akafunga goli la pili na goli la 3 likafungwa tena na Elshaarawy wakati lile la kufutia machozi la Catania lilifungwa na Nicola Lecogretaglie.

Kwa ushindi huu sasa Milan wanajikusanyia jumla ya pointi 21 na kushika nafasi ya 7 huku wakiwa nyuma kwa pointi 11 dhidi ya vinara Juve ambao wiki iliopita walikalishwa kwenye kibao cha mbuzi na kukubali kupigwa bao moja dhidi ya watemi hawa wa jiji la Milan.

Forza Milan
Haya bwana,wapi hiyo mitaa ya kina Ignazio Abate,Montolivo au Nocerino?
 
naombea kwenye hatua ya mtoano milan wapangwe na timu za ujerumani au uingereza..teh..teh..aibu!spain sijazitaja maana huo utakuwa udhalilishaji wa kiviwango!
 
naombea kwenye hatua ya mtoano milan wapangwe na timu za ujerumani au uingereza..teh..teh..aibu!spain sijazitaja maana huo utakuwa udhalilishaji wa kiviwango!


Msimu uliopita nilipiga Arse4 ya uingereza goli 4...
Na kwa taarifa zilizothibitishwa ni kuwa hivyo vitimu vya ujerumani kwa AC Milan ni kama Ng'ombe kwa Mmasai.

Fuatilia Inzaghi peke yake keshamnanihii Oliver Kahn na Bayern mara ngapi?

Halafu mna viover rated vitimu vya ujerumani ambavyo ndani ya miaka 20 vimebeba champions league mara mbili...97-2001...
 
Haya bwana,wapi hiyo mitaa ya kina Ignazio Abate,Montolivo au Nocerino?


Hah hah hah haaah Hiyo ni Barabara ya Turati, barabara ambayo ukipita huku unamtukana Paolo Maldini au Costakurta au Franco Baresi, au Carlo Ancelotti au Gullit, Rijhkaard, Van Barstern, au Pipo Inzaghi au Alesandro Nesta au Uncle Seedorf basi utakamatwa na polisi kisha utapandishwa kujibu shtaka mahakamani na hautapewa nafasi ya kujitetea na utafungwa miezi 6 jela na kazi za huduma ya kijamii.

Forza Milan
 
Msimu uliopita nilipiga Arse4 ya uingereza goli 4...
Na kwa taarifa zilizothibitishwa ni kuwa hivyo vitimu vya ujerumani kwa AC Milan ni kama Ng'ombe kwa Mmasai.

Fuatilia Inzaghi peke yake keshamnanihii Oliver Kahn na Bayern mara ngapi?

Halafu mna viover rated vitimu vya ujerumani ambavyo ndani ya miaka 20 vimebeba champions league mara mbili...97-2001...

kaka kuna soka la msimu.mwaka huu wana msimu mzuri.tuache ushabiki ujerumani wana timu kali sana msimu huu.hasa dortmund na bayern.zifuatilie.
 
Back
Top Bottom