Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,649
- 4,786
- Thread starter
-
- #681
Hao AC Milan yako ishakula bao kwa FC Malaga ktk hatua ya makundi,sina wasiwasi na waitaliano kwa sasa mimi na FC Barcelona au Lafuria Roja wameshika namba 2 nyum,a yao,walishinda 4-1 san siro wakaenda kulala 4-0 kwa deportivo la coruna javier irureta,na AC Milan ilikuwa kama bingwa mtetezi uefa champs ligi wakavuliwa,ngoja nikutafutie bao zuri la Luque ambae alimvisha kanzu maridadi Cafu na kupiga bao safi yaani kama ingekuwa ni mwingereza basi ingekuwa breaking news siku zile.
Mimi ntakutafuta Turati yote hadi Mihogoni,yaani hata mkipendekeza mechi zote 2,nina uhakika mkubwa na Fc Barca,hamna nyimbo safari AC Milan,na wachezaji wenu tegemezi sijui Montolivo,Pato,Shaawary,Robinho,Prince na beki yenu mahiri Yepes akisaidiwa na Abate,sijui Niang na yule mguinea sijui constantine kimanda,samahani kama nachapia jina lake Chomba
Mkuu kwema?
Leo mbona hujaja na kibweka chochote cha Gaucho the Saint?
Kaisha, sasa anafikiria kuchezea timu ndogo kama Blackburn!
kwi kwi kwi dah Gaucho ashaufanyia mpira mambo makuuuubwa mno....
Siasi kwamba mpira hauna unachomdai.
Na kama kuna shabiki wa Soka hajawahi kuona miujiza ya mtakatifu Gaucho basi huyo ausubiri Moto wa Jehanam tu.
Dinho awapo uwanjani basi hata Malaika huko Mbinguni huwa wanamshangilia...
hahahaha sio hii ya kina Pazzini sijui pizza na kocha wao alejiila ya 4-0 aliyochezea Barca katika Fainali mwaka 1994 huyazungumzii...dah we kweli ni Gutierez
Ooops Companero anakutafuta ... .... .... kuna thread amefungua rasmi kwa ajili yako .. .... .. na yule jamaa anayeshabikia timu za vichochoroni.
Ooops Companero anakutafuta ... .... .... kuna thread amefungua rasmi kwa ajili yako .. .... .. na yule jamaa anayeshabikia timu za vichochoroni.
Wacha1 nimeiona...teh teh ana nongwa na Milan na wooote waliopitia ama kuwepo Milan huyo.
Bao 1 safi la kichwa nilishuhudia kwa macho yangu wala sikuhadithiwa lilifungwa na Bojan Krkic Perez kwa krosi iliyopigwa na Prince Boateng.milan 2-1 Siena...
Forza Milan
Bao 1 safi la kichwa nilishuhudia kwa macho yangu wala sikuhadithiwa lilifungwa na Bojan Krkic Perez kwa krosi iliyopigwa na Prince Boateng.
Yaani ile mitaa ya linyola alipozaliwa a.k.a mwananyamala jijini barcelona,ilikuwa ni furaha na hawakosi kuangalia gemu za ac milan kumuangalia kinda wao mwenye asili ya serbia wazazi wake,yaani ukirindima kila siku habari zake Chomba utakabidhiwa jiko bure kama Vicente Del Bosque Gonzalez alipompa Fernando Redondo binti wake bure kwa chenga aliyompiga Henning Berg mwaka 2000 old trafford uefa champs ligi Man Utd vs Real Madrid,ngoja tujikumbushe japo samahani kwa kuwatonesha donda mashabiki fulaniHah hah haaah Gutierez umesahau kumalizia Bojan kinda aliekulia Barca