Home of AC Milan, Official Thread

kwaaa kwa kwa kwaaaa...anapiga sarakasi huku kavaa "kibwaya" kwaa kwaa kwaaa!

Sijui Akina Shifta wanasubiri galasa gani walisajili..teh teh..
Manake ndugu zao wamempata Vidic...Wanasubiri ile Mbuzi kafia kwa muuza supu...teh teh...
 
Kwani nani asiyeijua ratiba Mpwa?

Shifta yupo busy kufuatilia mafundi gani Seedorf atawaleta Kurudisha heshima ya Milan....
Manake nafasi ya Ukocha pale imetulia teh teh....
Kama Shuzi sasa limepata mj.mb.j.
 
Sijui Akina Shifta wanasubiri galasa gani walisajili..teh teh..
Manake ndugu zao wamempata Vidic...Wanasubiri ile Mbuzi kafia kwa muuza supu...teh teh...

Wana Super Mario na Farao kwenye list ya majeruhi
 
Kama kawa #milan wameangukia pua baada ya kukubali kipigo cha bao 1 kwa 0 toka kwa Udinese. Pole shifta,. Mimi naona bora mngemrudisha hata paulo maldini kuliko huyu wa sasa. Mnakumbuka kilichomkuta Allan Sheara pale newcastle baada ya kukubali kuchukua timu kimeo na mwisho aliishusha kule championship! Mpaka leo hataki ukocha tena. Ndicho kitakacho mpata Seedorf.
 
Last edited by a moderator:

Maldini hawezi kurudi sasa hawaivi na Galliani
 
Last edited by a moderator:
Leo Milan mkipita ndo nitaamini kwenye mpira kweli kuna bahati.
 
Dk 45 ni nyingi sana kwenye soccer, Super Mario ana goli lake
 
Dk 45 ni nyingi sana kwenye soccer, Super Mario ana goli lake

Shifta anadai kaweka Laki 5 kwa Milan....teh teh
Essien anapokonywa mpira kizembe Watu wanafunga....Hawa wachezaji wa mafungu bana...
 
Shifta anadai kaweka Laki 5 kwa Milan....teh teh
Essien anapokonywa mpira kizembe Watu wanafunga....Hawa wachezaji wa mafungu bana...

Subirieni kandanda la Rossoneri kipindi cha pili
 
Jahazi lishazama hili tena....Sijui tutawaona lini tena Milan kwenye Michuano hii...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…