kwi kwi kwi haikufaa rangi, je itafaa chokaa?
kwi kwi kwi haikufaa rangi, je itafaa chokaa?
Me siku hizi nipo kama sniper vile maana watu mnashinda MMU na Jukwaa la Mapishi, ntajadiliana na nani? juve2012 sijui kaokoka siku hizi? Utamkuta anabishana kule kwenye 'ubishi' usioishaga, mabuluda wengine sijui wako wapi, hivi gutierez naye kapotelea wapi? Wapi Viper, bologna, myao wa tunduru na wengine?
Ndio maana siku hizi utanikuta kijiwe cha kina MosDef na Janjaweed napiga mastory ya soka na hawa wakongwe wa soka la Uingereza na Yuropa
nipo nimejaa tele mkuu,majukumu ya hapa na pale tu,ila bado ni buluda siku zote,huko "ubishini" kwa akina ntuzu,eiyer,kiranga na wale "wabishi" wengine,naendaga kupata maarifa,tunajaribu kufumbua milinganyo sahili mbali mbali ya dunia.Hata Chomba anakujaga kule mara moja moja sema hataki ujue ni atheist wa kisirisiri.
Tatizo la huu Uzi umesuswa. Kwenye sports forum Uzi unaopata updates kila Mara ni ile wa Madrid wa Salamander. Jamaa anajitahidi bhana, mapicha kibao. Ki ukweli jamaa kauweza Uzi wake c Gang Chomba aji hapa mpaka Milan ishinde!
AC Milan kabanwa mbavu dakika za mwisho...droo!
usijali mkuu,tupo pamoja.Salah atatolewa kwao Florence usiwe na shaka.Naona daraja la Stamford limekuwa imara kweli siku hizi.
Nipo Mourinho,pole na away goli jana yaani kubebwa kote(red card na penati kupewa) hamubebeki,hahahaha pa1:baby::tape:Me siku hizi nipo kama sniper vile maana watu mnashinda MMU na Jukwaa la Mapishi, ntajadiliana na nani? juve2012 sijui kaokoka siku hizi? Utamkuta anabishana kule kwenye 'ubishi' usioishaga, mabuluda wengine sijui wako wapi, hivi gutierez naye kapotelea wapi? Wapi Viper, bologna, myao wa tunduru na wengine?
Ndio maana siku hizi utanikuta kijiwe cha kina MosDef na Janjaweed napiga mastory ya soka na hawa wakongwe wa soka la Uingereza na Yuropa
Nipo Mourinho,pole na away goli jana yaani kubebwa kote(red card na penati kupewa) hamubebeki,hahahaha pa1:baby::tape:
acha tu bado na maumivu ya 2014 brazil huko,no comments,gang chomba hana chake ac milan = man utdUmepotea sanaaa mspaniola wewe
Ila sijakuelewa mwana Abajalo, mechi ya mwisho tumemkaza Sassuolo cha nguruwe na lile wanaitwa Pogboom,
acha tu bado na maumivu ya 2014 brazil huko,no comments,gang chomba hana chake ac milan = man utd
Maumivu yamehamia mpaka klabuni? Gang Chomba na chama lake kama Mji Mpwapwa wamekua sawa na pombe ya msibani, kila mtu anajichotea anagida[/QUOTEK]
Jamhuri Kihwelu a.k.a Mourinho anakuambia pombe ya ngomani,hahaha,au itabidi wamrudishe carlo Ancelotti pale Turati,maana ni kama Kihwelu anakuambia yeye ni kama katapila,katapila linahitajika sana wakati wa shida hususan ujenzi wa barabara ila barabara ikishakamilika katapila halina thamani linasahauliwa,lol ananiua sana na misemo yake Kihwelu kama Mourinho,Mourinho aliwahi kusema eti Barca akicheza nao 11 kwa 11 hawamfungi,ila akiwa pungufu anachezea kichapo kwa wacatalunya toka chelsea,inter mpk real madrid
Maumivu yamehamia mpaka klabuni? Gang Chomba na chama lake kama Mji Mpwapwa wamekua sawa na pombe ya msibani, kila mtu anajichotea anagida[/QUOTEK]
Jamhuri Kihwelu a.k.a Mourinho anakuambia pombe ya ngomani,hahaha,au itabidi wamrudishe carlo Ancelotti pale Turati,maana ni kama Kihwelu anakuambia yeye ni kama katapila,katapila linahitajika sana wakati wa shida hususan ujenzi wa barabara ila barabara ikishakamilika katapila halina thamani linasahauliwa,lol ananiua sana na misemo yake Kihwelu kama Mourinho,Mourinho aliwahi kusema eti Barca akicheza nao 11 kwa 11 hawamfungi,ila akiwa pungufu anachezea kichapo kwa wacatalunya toka chelsea,inter mpk real madrid
Teh teh teh, gutierez hawa ni pombe ya msibani au unaweza kuwaita mlupo wa kwenye kigodoro, si umeona leo Violla kila wakiingiza kichwa....BAO
Na hutamuona Gang Chomba hapa ng'oo, labla aotee droo na Parma
Fiorentina Batistuta lolTeh teh teh, gutierez hawa ni pombe ya msibani au unaweza kuwaita mlupo wa kwenye kigodoro, si umeona leo Violla kila wakiingiza kichwa....BAO
Na hutamuona Gang Chomba hapa ng'oo, labla aotee droo na Parma