Home of AC Milan, Official Thread

Home of AC Milan, Official Thread

Alikuwa anakuja na headlines za magazeti ya kitaliano kama gazzeti del sport, Tutto sport corriero del serra na mengine. Kwanza mwambieni hii I'd yake ya shifta haina ladha kama ile chomba.


hah hah hah dah mkulungwa mwenzangu umeniacha hoi sana
 
Last edited by a moderator:
Kama sikosei ilikuwa ni msimu wa mwaka 2012, hatua ya mtoano ktk UEFA, kama sio mtoano basi Robo.
AC Milan akapangwa na Barca, Game ya kwanza San Siro Milan akashinda 2 - 0 wakafurahi sana. Sasa ile furaha ya kule Italy si ikaamia huku JF.
Gang Chomba akawa anatoa misemo balaa, huyu jamaa natamani siku nimuone. kuna baadhi ya misemo yake na vituko navikumbuka mfano:-
1. AC Milan ni kama maji, usipoyaoga, utaogeshwa ukifa.
2. AC Milan ikitolewa na Barca najing'ata mgongoni
3....…
Sasa tangu Milan aende Camp Nou na akapigwa 4 - 0 ndo ikawa mwisho wake wa kuingia mara kwa mara humu ndani. Huku Lionel Messi asiempenda akapiga magoli ya hatari, ikiwemo lile goli la mapena sana la kwanza.
Wale wanaojua misemo ya Gang Chomba na kuikumbuka jazilizieni namba 3 na kuendelea.


hah hah hah Barca akimtoa Milan basi hata Sumaku itanasa kwenye mbao...
 
Kama sikosei ilikuwa ni msimu wa mwaka 2012, hatua ya mtoano ktk UEFA, kama sio mtoano basi Robo.
AC Milan akapangwa na Barca, Game ya kwanza San Siro Milan akashinda 2 - 0 wakafurahi sana. Sasa ile furaha ya kule Italy si ikaamia huku JF.
Gang Chomba akawa anatoa misemo balaa, huyu jamaa natamani siku nimuone. kuna baadhi ya misemo yake na vituko navikumbuka mfano:-
1. AC Milan ni kama maji, usipoyaoga, utaogeshwa ukifa.
2. AC Milan ikitolewa na Barca najing'ata mgongoni
3....…
Sasa tangu Milan aende Camp Nou na akapigwa 4 - 0 ndo ikawa mwisho wake wa kuingia mara kwa mara humu ndani. Huku Lionel Messi asiempenda akapiga magoli ya hatari, ikiwemo lile goli la mapena sana la kwanza.
Wale wanaojua misemo ya Gang Chomba na kuikumbuka jazilizieni namba 3 na kuendelea.


sheikh nimepoteza Pasword ya Gang Chomba basi balaa tupu...ila nipo na Milan yangu
 
Kama sikosei ilikuwa ni msimu wa mwaka 2012, hatua ya mtoano ktk UEFA, kama sio mtoano basi Robo.
AC Milan akapangwa na Barca, Game ya kwanza San Siro Milan akashinda 2 - 0 wakafurahi sana. Sasa ile furaha ya kule Italy si ikaamia huku JF.
Gang Chomba akawa anatoa misemo balaa, huyu jamaa natamani siku nimuone. kuna baadhi ya misemo yake na vituko navikumbuka mfano:-
1. AC Milan ni kama maji, usipoyaoga, utaogeshwa ukifa.
2. AC Milan ikitolewa na Barca najing'ata mgongoni
3....…
Sasa tangu Milan aende Camp Nou na akapigwa 4 - 0 ndo ikawa mwisho wake wa kuingia mara kwa mara humu ndani. Huku Lionel Messi asiempenda akapiga magoli ya hatari, ikiwemo lile goli la mapena sana la kwanza.
Wale wanaojua misemo ya Gang Chomba na kuikumbuka jazilizieni namba 3 na kuendelea.


is back...
 
Inter and AC Milan are reportedly
set to battle it out for Sampdoria
midfielder Roberto Soriano this
summer.
 
Thai Businessman
Closing In On AC
Milan Minority Stake
Thai businessman Bee Taechaubol is
reportedly closing in on purchasing
a minority stake in AC Milan.
Rossoneri fan group Curva Sud
released a statement on Friday
urging fellow fans to boycott going
to the stadium and avoid buying
merchandise, in addition to
displaying banners protesting
against longtime president Silvio
Berlusconi’s management of the
club in the 3-1 win over Cagliari on
Saturday night.
According to La Repubblica,
Taechaubol’s consultants are
already analysing the club’s
financial accounts in order to
determine the actual value of the
club, which Berlusconi claims is
around €980 million.
 
Thai Businessman
Closing In On AC
Milan Minority Stake
Thai businessman Bee Taechaubol is
reportedly closing in on purchasing
a minority stake in AC Milan.
Rossoneri fan group Curva Sud
released a statement on Friday
urging fellow fans to boycott going
to the stadium and avoid buying
merchandise, in addition to
displaying banners protesting
against longtime president Silvio
Berlusconi’s management of the
club in the 3-1 win over Cagliari on
Saturday night.
According to La Repubblica,
Taechaubol’s consultants are
already analysing the club’s
financial accounts in order to
determine the actual value of the
club, which Berlusconi claims is
around €980 million.

Habari za aibu hizi, Milan ilitakiwa kuwa global brand sambamba na kina Madrid, Barca, Manchester na Bayern, hivi hata Inter si imenunuliwa na haohao wavimba macho, wako wapi na Mancini wao?
Weka picha za juzi ndani ya Gussepe Meazza kulivyopwaya kama pagaleni, sijui hata hao wawekezaji wanakuja kuwekeza nini
 
Former AC Milan and Lazio
goalkeeper Carlo Cudicini has linked
up with the Republic of Ireland
under-21 team’s coaching staff.
 
Borussia Dortmund forward Ciro
Immobile is attracting the interest of
Italian side AC Milan.
 
Miongoni mwa mashabiki ninaowahusudu kwa mahaba yao na kutoikatia tamaa timu yao ni hawa SALUTE kwenu nyie ni washabiki wa ukweli hii kutoka moyoni mwangu kwa history ya AC sio timu ya kitoto achilia mbali magwiji walopita hapo. Ila baresi nguzo ya chuma atabaki ni mtu niliekuwa namkubali hapo.
 
Miongoni mwa mashabiki ninaowahusudu kwa mahaba yao na kutoikatia tamaa timu yao ni hawa SALUTE kwenu nyie ni washabiki wa ukweli hii kutoka moyoni mwangu kwa history ya AC sio timu ya kitoto achilia mbali magwiji walopita hapo. Ila baresi nguzo ya chuma atabaki ni mtu niliekuwa namkubali hapo.


shukran kaka...

forza AC Milan
 
Habari za aibu hizi, Milan ilitakiwa kuwa global brand sambamba na kina Madrid, Barca, Manchester na Bayern, hivi hata Inter si imenunuliwa na haohao wavimba macho, wako wapi na Mancini wao?
Weka picha za juzi ndani ya Gussepe Meazza kulivyopwaya kama pagaleni, sijui hata hao wawekezaji wanakuja kuwekeza nini

aha ha ha ha ha ha ha hivi kwanini wewe mchokozi sana?
 
AC Milan midfielder Nigel de Jong is
evaluating his future and demands
clarity and a clear plan from the
club, if the Rossoneri wish for him to
renew his expiring contract.
 
Back
Top Bottom