Home of AC Milan, Official Thread

Bee Taechaubol believes his drawn-
out takeover bid for AC Milan should
be completed within the space of
four weeks.
 


mkuu tazama PSG ya sasa kisha tazama AC Milan ya sasa then jibu utalipata
 
Mattia De Sciglio breaks
Serie A red card record
 
With AC Milan’s takeover nearly
complete, Bee Taechaubol is
insisting that under his stewardship
the club will aim for the Serie A title
and Champions League.
 
mkuu tazama PSG ya sasa kisha tazama AC Milan ya sasa then jibu utalipata
Labda mipango ya Filippo Inzhagi sio mizuri kama damu changa sasa hivi damu changa ni nyingi tofauti na ile AC Milan tuliokuwa tunasema ina wazee wengi lakini ilikuwa inafanya vizuri kiasi kwamba tulikuwa tukiiona AC Milan Champions League mara kwa mara
 
mwambie hivi " Napoli alitafuna pombe hakumtafuna Mlevi" Maana Milan walikuwa 10 tangu dakika ya 1

mbona hata PSG walicheza 10 wakiwa away na hawakupigwa 3. Milan hata mkipangwa 13 bado mnapigwa tuu.
 

bado mwaka mmoja Milan ashuke daraja.
 
Labda msimu unaokuja watajipanga, tuwavumilie.

Vinginevyo wasipojipanga wanaenda serie B msimu ujao

msimu ujao ataponea chupuchupu, utakaokuja tena ndo safari ya kushuka daraja.
 
msimu ujao ataponea chupuchupu, utakaokuja tena ndo safari ya kushuka daraja.
Sijui tatizo wapi!

Huwa kidogo wanajikaza wanapokutana na Inter lakini wakikutana na wengineo AC Milan wanakuwa wanyonge sana.

Labda wakishuka serie B watarudi tena serie A na nguvu mpya
 
Santos forward Gabriel Barbosa has
reportedly been offered to AC Milan
in exchange for Robinho.
The 18 year-old nicknamed ‘Gabigol’
has already scored over 20 goals for
the Brazilian club, who are keen to
retain Robinho, but are struggling
to come up with a financial solution
that Milan will accept.
 
AC Milan will apparently look to
Doyen Sports as they bid to secure
a star striker ahead of next season,
with Manchester United’s Radamel
Falcao heading their wanted list.
 
Bayern Munich prodigy Gianluca
Gaudino is said to have rejected an
approach from AC Milan .
The 18-year-old is considered an
exciting prospect having come
through the Bayern academy and
the Rossoneri are keen to add some
youth into their squad following a
disastrous season.
 
Today the
Milan family celebrates
a special birthday for a
player that is enjoying
a special season.
Jeremy Menez, the
rossoneri’s top scorer
this season with 16
goals to his name,
turns 28 today and
everybody at the club
wishes him a Happy
Birthday!
The Frenchman was
born on this day the
7th of May in 1987 and
will be sure to receive
best wishes from all his
team-mates and all the
fans over the course of
the day.
For the occasion, Milan
made this video
dedicated to the
forward.
 
Could Swedish superstar Zlatan
Ibrahimovic jump ship from PSG to
make a sensational return to AC
Milan?
That notion is bigged up by Italian
transfer guru Gianluca Di Marzio
today, who has revealed talks
between Milan honcho Adriano
Galliani and Zlatan Ibrahimovic’s
agent Mino Raiola about such a
deal.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…