Ukiwauliza hao Vidole juu PNC na mwenzake Alyen kuwa wanamfahamu kivipi Fundi huyu Manuel Rui Costa hawatakupa jibu kamwe wataishia kukutajia ratiba za khanga moko na kibao kata.
mkuu ww si ulisema ni Aseno sasa mbona hueleweki
mkuu ww si ulisema ni Aseno sasa mbona hueleweki
Embu niangalie vizuri,mimi naweza kuwa looser side?siku zote nipo upande wa mabingwa wanaojua na kuufahamu mpira.
mkuu naomba muache kaka frank apumzike kidogo, apate hata muda wa kunywa maji
Embu niangalie vizuri,mimi naweza kuwa looser side?siku zote nipo upande wa mabingwa wanaojua na kuufahamu mpira.
pole legend wangu, naona vijana kufika final CL imekua nongwa, wamekuandama kweli kweli.
***YATAKWISHA TU**
zama zake zimeisha hana jipya atabaki na story
unamzungumzia Costa a.k.a THE MAESTRO ambaye alidumu acmilan kwa miaka sita akifunga magoli manne(4) ha ha ha ha tena kacheza mechi 124 na alisajiliwa kwa dau la kuvunja rekod ya timu na alikuwa si lolote ndio mana kaka alikuja kumweka benchi tena mechi yake ya mwisho timu ya taifa alishindwa isaidia Ureno vs Greek alichezea kichapo cha moja bila na ugiriki kuwa mabingwa
ha ha ha ha asante kwa kuiama timu ila vp kuhusu Costa mimi na Aleyn bado hatumjui maana umesoma nilivyokujibu ila umejfanya kama hujaona
unamzungumzia Costa a.k.a THE MAESTRO ambaye alidumu acmilan kwa miaka sita akifunga magoli manne(4) ha ha ha ha tena kacheza mechi 124 na alisajiliwa kwa dau la kuvunja rekod ya timu na alikuwa si lolote ndio mana kaka alikuja kumweka benchi tena mechi yake ya mwisho timu ya taifa alishindwa isaidia Ureno vs Greek alichezea kichapo cha moja bila na ugiriki kuwa mabingwa
mkuu naomba muache kaka frank apumzike kidogo, apate hata muda wa kunywa maji
ha ha ha ha asante kwa kuiama timu ila vp kuhusu Costa mimi na Aleyn bado hatumjui maana umesoma nilivyokujibu ila umejfanya kama hujaona
zama zake zimeisha hana jipya atabaki na story
hivi uliwahi kumuona Rui Costa akikiputa uwanjani?
ilipotea kabsa UEFA au la liga?Yaani nyie Vijana mlioanza kuangalia mpira wakati huu wa Messi mnashida sana,kwa akili yenu mnadhani mpira ni sawa na Siasa kuwa mtu akishapotea kwenye Siasa ndio basi tena hafufuki tena?Mpira haupo hivyo Vijana una kupanda na kushuka,unafahamu kuwa hii Barca unayoishangalia wewe leo hii kuwa ulipotea kwenye anga la kimataifa kuanzia mwaka 1994 baada ya kupigwa 4 bila na Milan kwenye fainali ya UEFA mpaka pale Nabii na Mtume wa mwisho kwenye Soka alipotua ndio akairudisha kwenye chati?. Na enzi hizo timu iliyokuwa inatamba ni Ajax Armstedam,leo hii Ajax ipo wapi?
Mkuu PNC 1 nitake radhi asilani,timu ni kama kabila au ngozi ya mwili wa Binadamu hauwezi kuibadili au kuhama kwa vyovyote vile. Sijawahi kuhama timu hata siku moja nitakuwa na Milan yangu kwenye shida na raha.
Mkuu huyo jamaa hamna lolote labda nikujulishe tena kuwa alisajiliwa Acmilan kwa pesa nyingi sana kipindi hiko hadi akaweka rekod klabuni kwake na alikuwa namba 10 kichekesho ni kuwa kakaa acmilan miaka mitano kacheza mechi 124 alfu akafunga goli 4Hajawahi kumuona huyo,na sidhani kama anafahamu alikuwa anacheza namba ngapi,huyo muulize habari za Messi,Iniesta,Xavi na wakina Dan Alves basi.