Home of AC Milan, Official Thread

Home of AC Milan, Official Thread

kesho j2 juventus ndio atakuwa bingwa rasmi serie A, nina uhakika huo maana najua inter anamchapa ac milan pale giusseppe meazza,hata shamba langu la kibada naweka dhamana kesho,forza juve unbeaten 36 games.
 
kesho j2 juventus ndio atakuwa bingwa rasmi serie A, nina uhakika huo maana najua inter anamchapa ac milan pale giusseppe meazza,hata shamba langu la kibada naweka dhamana kesho,forza juve unbeaten 36 games.

Juzi mlidroo na Lecce mkaingia chini ya uvungu.
hivi hamjui kuwa tofauti ni pointi moja?
 
Gang Bin Chomba umepotelea wapi? Enhe tueleze jinsi historia ya kale ya Vilaza wa Milan ilivyowasaidia leo. Hahaaa!

Umeonaee! Jamaa zake historia tu wakati wenzake wanakamata ndoo!! Yaani leo Inter kashusha kisago cha nguvu sijui atajiteteaje!!!
 
Umeonaee! Jamaa zake historia tu wakati wenzake wanakamata ndoo!! Yaani leo Inter kashusha kisago cha nguvu sijui atajiteteaje!!!

Gang kakimbia, ndio zake hizo, akijitokeza ataanza kudai mara refa noma, mara oh kisa Milan imemuuza Santa Dinho!
 
Gang chomba njoo utoe mkono wa pongezi kwa watu wa soka hapa!marco borriel pale vucinic wazee wa kutupia
 
Juzi mlidroo na Lecce mkaingia chini ya uvungu.
hivi hamjui kuwa tofauti ni pointi moja?
teh teh teh,ni kicheko tu unbeaten 37 jumla 42 na ubingwa juu no other comments,karibu kaka,yaani ulipojificha hata mullah muhamad chaka lake cha mtoto
 
nimeangalia gemu ya juve, dk ya 17 melo akampiga mtu kiatu cha uso baada ya kuchezewa rafu. Refa akampa red card hapo ndio goli zikaanza kumiminika..jamaa huenda anavuta bange si bure yule hakyanani. Mdogo giovinco akapiga bao mbili safi na kuwasuta la vecchia signora kwa kumuuza.

one of the best quote ya msimu uliopita...
 
Kutoka kwa Van Barsten, Gullit mpka Rhiijkard, tukaja kwa Kluivert na Edgar Davids, kisha kwa Seedorf, Stam na sasa ni zamu ya Holding Midfield...


kiungo mkabaji na mwenye uwezo wa kumiliki Mpira na kutoa pasi zenye Upako na anayeaminika kupiga mashuti Mark Van Bommel amewasiri klabuni Hapa na hivi punde ametoka kupewa jezi namba 4 na ametambulishwa rasmi kuwa ni mpambanaji mpya wa klabu ya AC Milan.

Forza Milan

milan 4 life...
 
hongereni kwa ubingwa wapenzi, wafurukutwa, na washabiki wa LA VECCHIA SIGNORA.
Mlianza na Mungu na mnamaliza na Mungu.
 
Kwa kuwa mwanahistoria wa mambo ya kale ya soka, Gang, kazidiwa baada ya kichapo nakaimu nafasi yake ya kuweka matangazo ya vilaza Milan, naanza na hili:

[h=1]AC Milan to sign Bakaye Traore FOR FREE[/h]May 9, 2012




Nancy midfielder Bakaye Traore has revealed he will be an AC Milan player next season.
 
Hatimaye mlinzi wa kutumainiwa wa AC Milan ametangaza kwamba atahama AC Milan bda ya msimu huu kuisha.Huenda wakongwe wengine Gennaro Gatuso na Fillipo Inzaghi nao wakahama mwishoni mwa msimu
 
Hatimaye mlinzi wa kutumainiwa wa AC Milan ametangaza kwamba atahama AC Milan bda ya msimu huu kuisha.Huenda wakongwe wengine Gennaro Gatuso na Fillipo Inzaghi nao wakahama mwishoni mwa msimu

Belo nyoosha habari.
Mtaje huyo Mlinzi,
unapokuja na habari pasipo kutaja muhusika unakuwa unafanya maisha ya wapenzi wa AC Milan kuzidi kuwa magumu.

Forza Milan
 
Back
Top Bottom