Home of AC Milan, Official Thread

Home of AC Milan, Official Thread

ndugu zangu mie nipo na kihoro moyoni...
Maana hili jukwaa la michezo ndo jukwaa langu
boora kabisa ambalo huwa nakuwa nalo huru
pindi tu napoingia JF... Lakini hii AC Milan inavyonitenda najiona kama
nina RB na sitakiwi kukanyaga humu. Ila dah wanasema ''Mswahili lake Sokoni, na
Muungwana lake rohoni''...mie mwanakwetu
langu rohoni. Nina imani soon ntarudi katika winning truck...

salamu kutoka kwa companero, anasema pole sana, kila la heri kwenye jukwaa la mapishi
 
EMT na Mourinho mmeweka mavitu yaliyonikumbusha mbali. Nimehisi vinyweleo vikinisimama!...Nyie ni majembe....dah!
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: EMT
Kama kawa,jogoo kasinzia dk ya 90,mkapigwa goli,ya 93 jogoo akawika kookolikoo,mkaambulia draw tena ile penati aliyefanya madhambi ni Balloteli,refa kawanyima Ajax akawapa Milan!
 
Kama kawa,jogoo kasinzia dk ya 90,mkapigwa goli,ya 93 jogoo akawika kookolikoo,mkaambulia draw tena ile penati aliyefanya madhambi ni Balloteli,refa kawanyima Ajax akawapa Milan!

...sheikhe cjui yupo katika hali gani? Anaitaji uangalizi jamani!
 
Leo uncle Festa kavaa msuli bila boksa dondola wa Ajax akakosea njia kaingia ndani ya msuli,..watu wanamuona uncle festa anaruka ruka kama mmasai.. kwi kwii!
 
Leo uncle Festa kavaa msuli bila boksa dondola wa Ajax akakosea njia kaingia ndani ya msuli,..watu wanamuona uncle festa anaruka ruka kama mmasai.. kwi kwii!

Kwa kwa kwa kwa kwa kwa kwa kwa kwaaaaaaaaaaa!!!!!
 
Kwa kwa kwa kwa kwa kwa kwa kwa kwaaaaaaaaaaa!!!!!

kwii kwi kwiiiii,anaruka ruka huku machozi yanamlenga,kulia anataka lakini hawezi kulia mbele za watoto,wamejaa pale wanampigia makofi "enhee,uncle Festa huyoo..anajua kucheza ngoma ya kimasai",kwi kwi kwii!usiku mwema mkuu Mourinho na Zeroseven..aargh,bhana Zero hii ID yako dah!
 
...sheikhe cjui yupo katika hali gani? Anaitaji uangalizi jamani!


Nipo sheikh...
Wanasema kamba hukatikia pabovu...lakini Milan sie tunazidi kusonga tu na kuudhihirishia ulimwengu kuwa Milan sio timu ya kubeza
 
Ada ya mja kunena...
So nena mwanakwetu, maana ndio ada yako hiyo.

Nawe wajificha sana mwanakwetu, najua unawakosa kina Montolivo, Farao na Super Mario lakini kujificha kwako ni mithili ya mbuni!
 
Nawe wajificha sana mwanakwetu, najua unawakosa kina Montolivo, Farao na Super Mario lakini kujificha kwako ni mithili ya mbuni!


Mie nipo kana Jua...
asubuhi Mashariki...jioni Magharibi...usiku sionekani kabsaa
 
GAZETTO DELLO SPORT...
La Signora alza la Vorce...
The Lady raises her Voice...

TUTTO SPORT
Questa si ela Juve...
this Certainly is Juve...

ILL CORRIERO DELLO SPORT
Napoli e Juve ci sono...
Napoli and Juve are present
 
MAGAZETI YA LEO ITALY...
1. TUTTOSPORT
Juve Senza Paura
Juve without Fear...

2. IL CORRIERO DELLO SPORT
FantaNapoli... Milan di Ferro
Fantastic Napoli... Milan of Steel
 
Ndani ya mechi 2 ukuta wa Juve umeruhusu
magoli 6. Ndani ya mechi 2 ukuta wa AC Milan umeruhusu
goli 1...
 
MAGAZETI YA LEO ITALIA...
Gazetto dello sport...
Signora Scipatta
Signora tipped

Il Corriere dello sprt...
Ira JUVE ma ora e dura
Juve are, but now becomes difficult

Tutto sport...
Juve a testa alta la' britro NO
Juve with their heads held high...not the refferee
 
MAGAZETI YA LEO ITALIA...
Gazetto dello sport...
Signora Scipatta
Signora tipped

Il Corriere dello sprt...
Ira JUVE ma ora e dura
Juve are, but now becomes difficult

Tutto sport...
Juve a testa alta la' britro NO
Juve with their heads held high...not the refferee

Magazeti ya leo yanasemaje? Au hayajatoka?

"Parma climbed above Milan and into seventh place, while a fourth league defeat of the season leaves the Rossoneri in 10th and 11 points short of the Champions League places"

cc; juve2012, Belo, Ziroseventytwo
 
Last edited by a moderator:
Magazeti ya leo yanasemaje? Au hayajatoka?

"Parma climbed above Milan and into seventh place, while a fourth league defeat of the season leaves the Rossoneri in 10th and 11 points short of the Champions League places"

cc; juve2012, Belo, Ziroseventytwo
Mourinho bhana! Jana niliogopa kuweka coment hapa nisije kuonekana kiherehere... Kiukwe bwa'mkubwa, ana hali mbaya. Mechi 10 alama 11, Alegri timu ishamshinda na muda c mrefu ataonyeshwa mlango wa kutokea. Poleni Milan, pole kaka mkuu Gang Chomba.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom