Hon Lissu has high IQ compared to all kenyan academician together with CCM members including Magu

Hon Lissu has high IQ compared to all kenyan academician together with CCM members including Magu

Hehehe!! Hivi unajua Wakenya wangapia wamepitia hiyo hardtalk, nyie akipitia Mtanzania wa kwanza mnataka kumlinganisha na Wakenya. Ni kweli Tundu Lissu yuko poa sana ukilinganisha na Watanzania wengine, lakini ndio ameanza kucheza ligi ambayo Wakenya wameshaizoea.
Tatizo lake aliniboa kwa kuponda kila kitu asilimia 100% hakuna nzuri alilisema kuhusu nchi yake na rais wake, upinzani wenu unafaa kupata darasa kuhusu uzalendo, ponda lakini sifia walau kimoja.
Yaani mtu akutwange risasi na hjulikani halafu utoe sifa, unaweza kuta kumbe uliyemsifia ndio alikutenda maafa.
 
Hehehe!! Hivi unajua Wakenya wangapia wamepitia hiyo hardtalk, nyie akipitia Mtanzania wa kwanza mnataka kumlinganisha na Wakenya. Ni kweli Tundu Lissu yuko poa sana ukilinganisha na Watanzania wengine, lakini ndio ameanza kucheza ligi ambayo Wakenya wameshaizoea.
Tatizo lake aliniboa kwa kuponda kila kitu asilimia 100% hakuna nzuri alilisema kuhusu nchi yake na rais wake, upinzani wenu unafaa kupata darasa kuhusu uzalendo, ponda lakini sifia walau kimoja.
We we we tundulissu msaliti ni msaliti kwa hiyo usimlinganishe na Watanzania, hiyo ni kauli ya chadrama mcharuko mizee ya matukio isiyo na mbele wala nyuma walahi
 
Kwa ile hard talk interviews @ Dunia nzima ilisimama kumsikiliza Tundu lisu.Advocate mbobezi machachari Duniani # Marekan na nchi zingine developed countries wamemkabali hata. afrika pia tume mkubali@ tunasubir interviews nyingine CNN ,Aljazeera, na US news hapo next week

Arudi jimboni kwake kuwatumikia wananchi wake. siyo kusingizia ugojwa wakati anazunguka huku na huku huko ubeberuni.
 
Hehehe!! Hivi unajua Wakenya wangapia wamepitia hiyo hardtalk, nyie akipitia Mtanzania wa kwanza mnataka kumlinganisha na Wakenya. Ni kweli Tundu Lissu yuko poa sana ukilinganisha na Watanzania wengine, lakini ndio ameanza kucheza ligi ambayo Wakenya wameshaizoea.
Tatizo lake aliniboa kwa kuponda kila kitu asilimia 100% hakuna nzuri alilisema kuhusu nchi yake na rais wake, upinzani wenu unafaa kupata darasa kuhusu uzalendo, ponda lakini sifia walau kimoja.
At least hata upinzani wa kenya lakini si watz

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hehehe!! Hivi unajua Wakenya wangapia wamepitia hiyo hardtalk, nyie akipitia Mtanzania wa kwanza mnataka kumlinganisha na Wakenya. Ni kweli Tundu Lissu yuko poa sana ukilinganisha na Watanzania wengine, lakini ndio ameanza kucheza ligi ambayo Wakenya wameshaizoea.
Tatizo lake aliniboa kwa kuponda kila kitu asilimia 100% hakuna nzuri alilisema kuhusu nchi yake na rais wake, upinzani wenu unafaa kupata darasa kuhusu uzalendo, ponda lakini sifia walau kimoja.

Tatizo la Tundu ni pale alipoingia mtego wa ushoga wa huyo jounalist. Kuhusu kuiponda TZ, huyo mwanahabari hakumpa nafasi ajieleze. Ukiwa na dakika 20 za kuongea juu ya Magu, hutapata nafasi ya kusema mazuri yake. Hata Osama alikuwa na mazuri yake.
 
Halafu huyo mwandishi aliegemea sana upande mmoja, yaani hata hakua anaskliza majibu ya Lissu, alikua kama robot maana wakati pointi ya Lissu ikianza kunoga anahamisha mada ghafla...hehehe yaani haya mahojiano hutaka uvumilivu maana najifahamu mimi sio mvumilivu na tutagombana humo ukianza kuhamisha hamisha mada wakati nimenogewa na kupata mzuka wa kujibu swali la awali.
Lakini je tukija hata kwa Magufuli, utani pembeni, anayo mapungufu yake lakini ina maana kwenye nchi yenu hiyo hana moja amefanya nzuri, wapinzani wa Kiafrika tatizo unafiki bila uzalendo, haiwezekani rais kwa hatamu yote iwe hajafanya hata kamoja tu ka kuonekana, duh! Jamaa aliponda yaani full machungu.....hehehe ndio maana juzi Magufuli alisema anaogopa wapinzani watamchinja.
MK254, Magufuli hana hata moja moja alilofanya ambalo linaweza kumpa Credit bora, mambo yote ni danganya toto, Ni sawa na Baba anapoleta chunvi nyumbani huku hakuna mboga halafu anataka watoto wamshangilie, huku akiwa amepitia Bar amekunywa pombe zake na kuwaletea watoto harufu mbaya ya pombe
 
Tihihihi....And a Hen has better IQ than that thing Lissu
 
Tatizo lake aliniboa kwa kuponda kila kitu asilimia 100% hakuna nzuri alilisema kuhusu nchi yake na rais wake, upinzani wenu unafaa kupata darasa kuhusu uzalendo, ponda lakini sifia walau kimoja.

..huku Tz the ruling party and the opposition huwa hawana jambo zuri la kusema kuhusu mwenzake.

..sijawahi kumsikia Raisi au Spika wa bunge saying any positive about Tundu Lissu. Sijawahi.

..na wanamchukia Tundu Lissu kwasababu ana tabia ya kusema ukweli bila kuficha au kuogopa.
 
Back
Top Bottom