Honda crossroad

Honda crossroad

Nipe abc zake mzee naikubali sana hii ndinga japo wadau wengi hawaizungumzi vizur ukiwauliza naona ww unaweza kuwa msaada kama ushaimiliki isitoshe ndio nipo kwenye harakati zakutafuta kigari flan unique hiv
Mkuu machine iko poa sana, kiufupi haijawahi niletea shida yoyote yaani tangu nimeanza kuitumia haijawahi niangusha, na ina shukrani sana iko comfortable ,sema wabongo ni mabingwa wa kupondea vitu ambavyo hawajawahi kuvimiliki, wanapenda kila mtu apende wanachopenda wao ,kuhusu spea zinaingiliana na Toyota na Subaru baadhi ya spea,
Kiufupi ukitaka kufanya jambo usisikilize ushauri wa kimasikini hutatoboa
 
Mkuu machine iko poa sana, kiufupi haijawahi niletea shida yoyote yaani tangu nimeanza kuitumia haijawahi niangusha, na ina shukrani sana iko comfortable ,sema wabongo ni mabingwa wa kupondea vitu ambavyo hawajawahi kuvimiliki, wanapenda kila mtu apende wanachopenda wao ,kuhusu spea zinaingiliana na Toyota na Subaru baadhi ya spea,
Kiufupi ukitaka kufanya jambo usisikilize ushauri wa kimasikini hutatoboa

Shukrani mkuu hapa nimeshiba maelezo
 
Back
Top Bottom