KANYEGELO
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 2,238
- 4,885
Wajuzi hbr za kushinda nahitaji muongozo kuna hii gari nimepita platfomu x nimeona inauzwa imenivutia mkao wake ,mara moja kwa kutokea mtoko ,bei jamaa anayouza ni ya kawaida sana.
Nachoomba kwenu mwenyekufahamu hii brand anipe mawili matatu , maana honda na mazda ndio brand pendwa moyoni mwangu swala la vipuli sio tatizo nilishazoea kwa sasa.
Mazda cx 5 imenifanya nikomae sana hivyo sina uwoga wowote , hii nayo nahitaji sana niikamate mwenye ujuzi karibu unipe mawili matatu Engine ni 2.4 L
Nachoomba kwenu mwenyekufahamu hii brand anipe mawili matatu , maana honda na mazda ndio brand pendwa moyoni mwangu swala la vipuli sio tatizo nilishazoea kwa sasa.
Mazda cx 5 imenifanya nikomae sana hivyo sina uwoga wowote , hii nayo nahitaji sana niikamate mwenye ujuzi karibu unipe mawili matatu Engine ni 2.4 L