Honestly JK: Wakina Brat unahitaji kweli kukutana nao?Unaweza kutuambia mliongea nini

Honestly JK: Wakina Brat unahitaji kweli kukutana nao?Unaweza kutuambia mliongea nini

Rayase kwakweli sikulaumu...kwasababu we ni product ya kumwagika 3%

Thread title inasema "Honestly JK: Wakina Brat unahitaji kweli kukutana nao?Unaweza kutuambia mliongea "

Nzokanhyilu! hiyo picha ni ya Brad Pit? i doubt!

...........nikijua JK mtu wa Bongoflava, so nikafikiri anamtafutia Chi chi chi Benzi collabo na Da Brat-tat-tat-tat on dat aaaah%$

Nimefikiria amekutana na Da Brat...

kichwa cha habari kinatatanisha.

Now, I give you the easy option of slapping yourself for having a D'oh moment!

Before I;
smack.jpg

Picture Source: dabuliyuu dabuliyuu dabuliyuu.rapmullet.com/images/features/smack.jpg dot Nzonkanhyilu push stelingi doti ugali wa muhogo
 
Nakubaliana kabisa na NasDaz hapo juu. Kati ya mambo ambayo tunahitaji sana sasa hivi ni kuitangaza Tanzania. Kama Mkulu ameona njia mojawapo ya kufanya hivyo ni kupitia kwa hao "celebrity", ni sioni shida kabisa! Yawezekana hatuelewi vizuri jinsi hao celebrity wanavyo-influence jamii ya kimarekani. Ikitokea mmoja wao akaamua kuja Bongo kutalii, basi ujue kuna watu wengine watajua Tanzania ni nchi gani na iko wapi. Sikubaliana na rais wetu kujishusha akaonekana ****, lakini sisi watanzania tunapaswa ku-seize every opportunity iliyopo kitangaza nchi yetu. Tusikalie tu kulalamika kuwa wakenya wanatufanyia biashara wakati sisi bado tumelala. Tuamke kutoka usingizini.
 
Back
Top Bottom