Uchaguzi 2020 Honestly TBC wanatangaza wanakuja kuwafanyia coverage mlitarajia fairplay?

Uchaguzi 2020 Honestly TBC wanatangaza wanakuja kuwafanyia coverage mlitarajia fairplay?

nzagambadume

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2018
Posts
2,430
Reaction score
5,779
Honestly TBC wanatangaza wanakuja kuwafanyia coverage mlitarajia fairplay? Yaani Lissu aelezee jinsi jamaa alivyoagiza apigwe risasi kwamba ni msaliti anawasiliana na Mwanyika ambaye naye ni mgombea ubunge huko CCM ingawa naye inasemekana ni kibaraka wa mabeberu?

TBC wametumia picha za asubuhi saa 5 tena za drone wakapost kwamba ndio mafuriko na ndio zinatumika mitandaoni, for the first time leo CHADEMA inahangaika kujitetea kuhusu crowd unadhani TBC hawajui kwamba kulikuwa na crowd kubwa?

Jamani nyie wapumbavu wa CHADEMA media hivi Makene analipwa mshahara? Kuna social media team? Mbowe, Lissu ana maumivu ya kutisha na mzigio mkubwa mabegani kwake, unashindwa ku-organise hata team ya kueleweka ya social media?

Wewe kweli uli-recruit Katambi na Mashinji? Leo msaidie basi hata Lissu kumtafutia drone ya kupiga picha juu basi kama umekosa drone ya milioni 2 basi tafuta wapiga picha watakaonenda kuomba vibaraza vya watu na kupanda juu ya miti, sijui kama umenielewa?

Walioenda juzi tcra kuhusu drone,msawali ilkuwa unatumia drone kwa ajili gani?Sema unachotaka wewe usiseme mkutano hupewi kibali ndiyo maana tbc leo wametupia pic ya juu inawadhalilisha ,mkoje lakini jamani?

Kuanzia mkutano ujao, mikutano yenu yote pigeni picha na drone leo mtajitetea na mapicha hadi itakuwa ujinga next time so on iwe drone pics na updates za kufa mtu acheni ujinga.

Angalia sanifu kama hizi ni wana brainwash watu na watafanikiwa

ujinga.PNG
 
lakini mimi najiuliza, kwani kujaza uwanja ni kipimo cha kukubalika na jamii au wananchi? nadhani ifike mahala tuachane na haya masuala ya kukusanya wananchi kisha kuanza kumwaga sera ifike mahala wagombea wamwage sera zao kupitia vyombo vya hau au social network basi.
 
..tatizo la wanasiasa wa Tanzania ni kutokujiandaa.

..nina hakika wazungumzaji wengi pale jukwaani hawakuwa wameandaa hotuba zao.

..TL anatakiwa aandaliwe hotuba zake kuanzia sasa mpaka mwisho wa kampeni.

..Na wazungumzaji wote watakaopanda jukwaani hotuba zao ziwe zimeandaliwa na zenye malengo maalum.

..Mwisho, nakubaliana na ulichosema kuhusu watu wa chadema media. Ni kweli wamezubaa.

..Ni afadhali wakawachukue vijana toka walio-cover ziara ya TL mkoa wa Songwe ambao walifanya kazi nzuri.
 
Ndio maana nilisema kama ningekuwa Katibu Mkuu wa Chadema ningemuweka pembeni Tumaini Makene kwa kutowajibika.
Sisemi Makene haipendi Chadema, la hasha Bali haendi na wakati maana umemuacha au amechoka.

Mbona wapo vijana mahiri wanaweza kupewa hata ajira za muda kwenda na kasi ya sasa! Chadema lazima ijue kupambana na dola iliyojaa ushetani sio kazi nyepesi
 
Mpaka sasa nahangaika nione ilivyokuwa Mbagala, sipati chochote.
 
Si mmezuia drone zisifanye kazi, ndio picha za juu hakuna, mpaka wasajiri, tcra wangezichukua.
 
Si mmezuia drone zisifanye kazi, ndio picha za juu hakuna, mpaka wasajiri, tcra wangezichukua.
habari ni kwamba ukienda tcra wanakuuuliza ya nini ukisema harusi movie hawana shida na wewe..kwani leo chadema wakirusha drone yao ikakamatwa huoni ni kesi kimataifa? kwa kifupi chadema hawana drone wanasubiri serikali iwaruhusu???hahahahahahah
 
Hivi kwa sheria hii ya maudhui, Chombo gani kitakubali kurusha au kutangaza mbashara mikutano ya kampeni ya Chadema? Hawajipendi? Afadhari TBC waliokuwa makini kufanya sensorship wanapoona lugha zinazoweza kuwaletea matatizo kisheria. Sasa tumejua Chadema kipaumbele chao ktk kampeni ni Sadaka kwa kubebwa kwa huruma ya hadithi za mgombea wao kupata madhira miaka mitatu iliyopita. Na mwenyewe ametamka "Kwani mtu aliyeumizwa kuonewa huruma ni makosa"
 
Back
Top Bottom