Hongera Afande Muliro

Hongera Afande Muliro

Joseph Ludovick

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2013
Posts
364
Reaction score
468
Kwenye kongamano la TLS umeonyesha kuwa Jeshi la polisi na askari polisi wana upeo, wamekwenda shule na wana weledi wa mambo. Umeweza kukabili hadhira ambayo ina uadui na taasisi yako na bado ume deliver. Upelelezi ni sayansi na hauwezi kuendeshwa kwa ushabiki maandazi.
Hongera tena.
 
Kwenye kongamano la TLS umeonyesha kuwa Jeshi la polisi na askari polisi wana upeo, wamekwenda shule na wana weledi wa mambo. Umeweza kukabili hadhira ambayo ina uadui na taasisi yako na bado ume deliver. Ipelelezi ni sayansi na hauwezi kuendeshwa kwa ushabiki maandazi.
Hongera tena.
Wewe ni mmoja wao
IMG_3824.jpeg
 
Kwenye kongamano la TLS umeonyesha kuwa Jeshi la polisi na askari polisi wana upeo, wamekwenda shule na wana weledi wa mambo. Umeweza kukabili hadhira ambayo ina uadui na taasisi yako na bado ume deliver. Ipelelezi ni sayansi na hauwezi kuendeshwa kwa ushabiki maandazi.
Hongera tena.
ni muhimu zaid vyama vya siasa hususani upinzani, vikaachana na kutumia ushirikina, kutoana kafara na kuchukuana misukule katika kutafuta uongozi halafu wanasingizia wengine, hiyo ni useless

well done Muliro, kuisemea vyema sana taasisi imara ya Jeshi la police Tanzania 💪
 
Kwenye kongamano la TLS umeonyesha kuwa Jeshi la polisi na askari polisi wana upeo, wamekwenda shule na wana weledi wa mambo. Umeweza kukabili hadhira ambayo ina uadui na taasisi yako na bado ume deliver. Ipelelezi ni sayansi na hauwezi kuendeshwa kwa ushabiki maandazi.
Hongera tena.
Muliro ange spend tu weekend yake sehemu nyingine kuliko kwenda kwenye kongamano....amejidhalilisha sana yeye pamoja na jeshi lake la polisi...damu za watu siyo maji ndugu zangu
 
Kwenye kongamano la TLS umeonyesha kuwa Jeshi la polisi na askari polisi wana upeo, wamekwenda shule na wana weledi wa mambo. Umeweza kukabili hadhira ambayo ina uadui na taasisi yako na bado ume deliver. Ipelelezi ni sayansi na hauwezi kuendeshwa kwa ushabiki maandazi.
Hongera tena.
Muliro kasoma sheria ila kitendo cha kufuata maagizo ya kupindisha na kuvunja sheria kinamharibia sifa au "reputation" yake.

ile tu kuhudhuria kongamano la TLS chaonyesha kwamba amesoma na ni mwelewa wa masuala mengi tu.

Kwahitajika mabadiliko makubwa kwenye sheria (regulations), miongozo na kanuni zinoongoza jeshi la polisi.

Kukifanyika hayo basi chuo cha polisi Moshi kitatoa wahitimu wazuri na pia chuo cha maofisa wenye shahada cha Kibasila, kitatoa maofisa waandamizi wenye kuelewa kwamba dunia yabadilika kila siku.
 
Kwenye kongamano la TLS umeonyesha kuwa Jeshi la polisi na askari polisi wana upeo, wamekwenda shule na wana weledi wa mambo. Umeweza kukabili hadhira ambayo ina uadui na taasisi yako na bado ume deliver. Ipelelezi ni sayansi na hauwezi kuendeshwa kwa ushabiki maandazi.
Hongera tena.
Jukwaa lako ni hili
1728261298729.png
 
Kwenye kongamano la TLS umeonyesha kuwa Jeshi la polisi na askari polisi wana upeo, wamekwenda shule na wana weledi wa mambo. Umeweza kukabili hadhira ambayo ina uadui na taasisi yako na bado ume deliver. Ipelelezi ni sayansi na hauwezi kuendeshwa kwa ushabiki maandazi.
Hongera tena.
Hii inchi ndio maana hatuendelei kwa sampuli ya watu kama ww.

Usikute na ww unajiita msomi🗿
 
Kwenye kongamano la TLS umeonyesha kuwa Jeshi la polisi na askari polisi wana upeo, wamekwenda shule na wana weledi wa mambo. Umeweza kukabili hadhira ambayo ina uadui na taasisi yako na bado ume deliver. Ipelelezi ni sayansi na hauwezi kuendeshwa kwa ushabiki maandazi.
Hongera tena.

Amejidharilisha Sana. Ameenda kuongea Kama Mwenezi wa CCM.
 
Kwenye kongamano la TLS umeonyesha kuwa Jeshi la polisi na askari polisi wana upeo, wamekwenda shule na wana weledi wa mambo. Umeweza kukabili hadhira ambayo ina uadui na taasisi yako na bado ume deliver. Ipelelezi ni sayansi na hauwezi kuendeshwa kwa ushabiki maandazi.
Hongera tena.

Ila hukububujikwa na machozi. Au hayo ni lengwa? Yaani gender biased?
 
Kwenye kongamano la TLS umeonyesha kuwa Jeshi la polisi na askari polisi wana upeo, wamekwenda shule na wana weledi wa mambo. Umeweza kukabili hadhira ambayo ina uadui na taasisi yako na bado ume deliver. Ipelelezi ni sayansi na hauwezi kuendeshwa kwa ushabiki maandazi.
Hongera tena.
Aise huyu AFANDE MULIRO yuko vizuri sana. Mstaarabu ni ametulia sana. He is very wise,mature as well.
 
Muliro kasoma sheria ila kitendo cha kufuata maagizo ya kupindisha na kuvunja sheria kinamharibia sifa au "reputation" yake.

ile tu kuhudhuria kongamano la TLS chaonyesha kwamba amesoma na ni mwelewa wa masuala mengi tu.

Kwahitajika mabadiliko makubwa kwenye sheria (regulations), miongozo na kanuni zinoongoza jeshi la polisi.

Kukifanyika hayo basi chuo cha polisi Moshi kitatoa wahitimu wazuri na pia chuo cha maofisa wenye shahada cha Kibasila, kitatoa maofisa waandamizi wenye kuelewa kwamba dunia yabadilika kila siku.
jeshi ni kupokea amri na kuitekeleza kutoka kwa afande, sasa we ulitaka asitekeleze amri?
 
Back
Top Bottom