Eti imekuwa biasharaModerator nani kawaambia hii ni thread ya biashara? Au ndio mnaileta huku ikose wachangiaji? Acheni mambo yenu ya ajabu ajabu, mnafikiri na uzoefu wote humu JF sijui thread gani niiweke wapi? Kama hamna kazi ingine ya kufanya endeleeni na huu ujinga.
Cc Maxence Melo
Sasa ni ngumu sana kwa wachangiaji wengine amabo hatujaona ulichokipost awali kuelewa hiliNime-delete nilichopost awali ndio nikaandika ulichokisoma.
Mumwambie aache na uongo ajifunze kuwa mkweliWazee wa fitna wakiona hivi wanawashwa washwa...
Machozi yamenitoka..... Sawa ana
mapungufu yake lakini anapiga kazi.
Tumuunge mkono, hii nchi ni yetu
sote. Majungu na fitna za nini..
Tujifunze kupenda vya kwetu,kuichukia nchi yetu kwa sababu anayeiongoza hatumpendi ni kutojitendea haki wenyewe.Tuungane tuinue shirika letu. Sehemu yoyote ambapo ATCL inakwenda sipandi ndege ingine
Ha ha ha!Mjumbe hauwawi!Hivyo unavyoona wewe. Tangu lini umepewa mamlaka ya kupangia watu cha kuandika humu? Au wewe ni Moderator niliemtag?
Umetokwa machozi?
Hivi ukitaka ku delete uzi ulioanzisha una delet wapi.. Kuna uzi niliufungua mods wakaukwe sehemu sio ,nikawaomba waupeleke sehemu husika ikachukua siku nne na ukapoteza mvuto kwa wachangiaji nataka niufuteNime-delete nilichopost awali ndio nikaandika ulichokisoma.
Hii kipanya amezidisha sumu sasaWelcomeeee welcomeeee welcomeeee whatiiiiiiiView attachment 1157019
Tumia browser ina DELETE OPTIONHivi ukitaka ku delete uzi ulioanzisha una delet wapi.. Kuna uzi niliufungua mods wakaukwe sehemu sio ,nikawaomba waupeleke sehemu husika ikachukua siku nne na ukapoteza mvuto kwa wachangiaji nataka niufute
Safi sana ngojaTumia browser ina DELETE OPTION