Ufungwe wewe ushauri uwape Simba,utopolo bhanaKipekee niwapongeze Azam fc, mlidhamiria hatimaye mmepata cha kusema, kumfunga bingwa si haba...
Feisal Salum hatimaye umepooza maumivu, hongera pia!
Mwisho kabisa niwaonye Makolo, kihere here chenu kitawaponza.
Jiandaeni kwa tano zingine...!!
Shuhuli sio yenu, mnatembea na ndizi, shen...zzyy kabisa!!
ππππJe simba atamuweza yanga game ya pili?sio mnafurahi tu wakati hamna uwezo wa kumfunga Yanga.
Na je nani atatoa sare na Yanga?
π€£π€£π€£ jamaniJe simba atamuweza yanga game ya pili?sio mnafurahi tu wakati hamna uwezo wa kumfunga Yanga.
Na je nani atatoa sare na Yanga?
Huna cha kushauri Simba kaa kwa tuliaKiburi chenu ndo kinawaponzaga, twawashauri kwa mapenzi yetu tu kwenu...