Hongera Azam TV kuonesha Euro 2016

Nadhan ZBC wataonesha kwa sababu kule zsnzibar wanatumia cable television. Na machanel ya kiarabu wanayakamata free. Ila kwa kuibia kws sababu hawana haki ya kurusha mtanange huo!
 
Vp naweza kuangalia kwa kutumia simu? simu yangu ni Lumia 530 wndows phone line ya halotel
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…