Hongera Benki ya CRDB

Hongera Benki ya CRDB

Tatizo la CRDB ni 80% ya watumishi wake ni Nkya, Mushi, Mrosso, Tarimo, Kimaro, Urassa, Urio and the like.

Mojawapo ya legacy mbovu ya Kimei ndio hiyo, huwezi kuajiri 80% ya wafanyakazi kwa hoja za ukabila eti ni kabila lako.
UMEMSAHAU NA MOSHA
 
Hao wateja wenyewe siku hizi wanapukutika tu! Benki imejaa makato ya hovyo hovyo!! Habari ya mjini kwa sasa ni Equity Bank. Hakuna makato kwa mwezi! Na wanatoa mzigo mkubwa kuliko hao CRDB!
Kuna DTB pia wako vizuri
 
Tatizo la CRDB ni 80% ya watumishi wake ni Nkya, Mushi, Mrosso, Tarimo, Kimaro, Urassa, Urio and the like.

Mojawapo ya legacy mbovu ya Kimei ndio hiyo, huwezi kuajiri 80% ya wafanyakazi kwa hoja za ukabila eti ni kabila lako.
Hii research umeifanyia wapi unaelewa asilimia 80% vizuri au umeandika tu kwa kua ulikua na bando na user ID ya JF?
 
Kwani sasa sina ID ya JF ama sina bando? Una akili sawasawa kweli?
Uelewa wa lugha na Somo la kiswahili kwako ni tatizo

Nimesema ulileta mada kwa sababu una bando na I.D (nazungumzia wakati ulio pita)

So elewa mambo ya nyakati. Ukisema kwa sasa huna bando na I.D inaonyesha ni jinsi gani umepotezana kwenye uelewa wa lugha na matumizi ya nyakati kwani mada umeleta sasa ivi au ni muda ulio pita?
 
Benki ya hovyo sana,na hela zangu walizozikatakata bila sababu mpaka nikawahama Mungu anawaona.
 
Uelewa wa lugha na Somo la kiswahili kwako ni tatizo

Nimesema ulileta mada kwa sababu una bando na I.D (nazungumzia wakati ulio pita)

So elewa mambo ya nyakati. Ukisema kwa sasa huna bando na I.D inaonyesha ni jinsi gani umepotezana kwenye uelewa wa lugha na matumizi ya nyakati kwani mada umeleta sasa ivi au ni muda ulio pita?
Wewe huna akili wala maarifa ya kunifundisha mimi.

Wewe huna unachokijua mimi sikijui, hakipo.
 
Nahama kesho, haiwezekani watu wote waisingizie hii bank.
 
Tatizo la CRDB ni 80% ya watumishi wake ni Nkya, Mushi, Mrosso, Tarimo, Kimaro, Urassa, Urio and the like.

Mojawapo ya legacy mbovu ya Kimei ndio hiyo, huwezi kuajiri 80% ya wafanyakazi kwa hoja za ukabila eti ni kabila lako.
Ni kweli kabisa. Sisi changanyikeni ngoja tuendelee na Mufindi Community Bank yetu
 
CRDB ni benki ya hovyo na hivi ninavyoongea nimeagiza hisa zangu ziuzwe ,sitaki tena.Benki ambayo haiwezi kutoa taarifa sahihi kwa wateja wake hiyo ni benki gani? CRDB ukiomba mkopo kuupata ni kudra za mwenyezi mungu.Kuna upumbavu mwingi crdb na akaunti naenda kuifunga.
Kaka kanunue hisa NMB hutojuta. Siku ukiziuza utanikumbuka. Goodwill ya NMB ni kubwa sana kuliko hao CRDB wajanja wajanja
 
Nahama kesho, haiwezekani watu wote waisingizie hii bank.
Imezidiwa. Twenzetu Azania, Exim Bank au Tanzania Commercial Bank. Hakuna foleni, mshahara unapata haraka sana sababu mko watumiaji wachache. CRDB makanjanja sana siku hizi
 
Imezidiwa. Twenzetu Azania, Exim Bank au Tanzania Commercial Bank. Hakuna foleni, mshahara unapata haraka sana sababu mko watumiaji wachache. CRDB makanjanja sana siku hizi
Mpaka barua nishapeleka kubadili mshahara kutoka huko CRDB.
 
Wewe mleta mada ni 'Manara' wa crdb.

Kati ya bank za hovyo hii bank ni mojawapo. Customer care kwao ni sifuri kabisa.
nakazia tu ni kweli hata ukienda ofisini kwao pale posta utashangaa unavyoudumiwa kama vile kinyesi wanakuona...ujinga sana
 
Back
Top Bottom