makorere
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 1,970
- 1,480
Wabongo kwa utabiri yani !!+++Hii ndoa tunaipa miaka miwili tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mtakumbuka haya maneno
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wabongo kwa utabiri yani !!+++Hii ndoa tunaipa miaka miwili tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mtakumbuka haya maneno
Mbna km unateseka vilee??Una miliki demu unakuja porwa na wenye cheo na uchumi
Mwenye cheo na uchumi anakufa unarudishiwa makombo unaanza kufakamia makombo as if sio makombo
Ama kweli wanaume tunapungua sikuhizi
Ndo nini hiki kupenda kitonga au
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]na atakua kibongisa kama shishi
nimekaa paleLabda billnas afanye biashara za maana apate mpunga au atoe hits apate show kiufupi ALETE mpunga mezani otherwise NDOA hii ikifika miaka 2 niite mbwa
[emoji1787][emoji1787]Akizaa anaanza kunuka kama mbuzi hapo ndo wanaume tunaanza kutafuta mchepuko
Malenzi ya kugongana na kuonesha machupi hadharani!Hongereni Bill Nass na Nandy kwa kufanya maamuzi mazuri, ndoa yenu ikawe ya heri na baraka.
Hongereni tena kwa kuwa mfano kwa wasanii wenzenu kuwa inawezekana mkinia jambo lenu.
Hakika mnatoka kwenye familia zenye misingi ya malezi ndio maana leo mmekula kiapo. Kongolee once again [emoji182]
View attachment 2292811
Mbezi kwa Musuguri bwalon kwa Tarimo bonge.Cha sehemu gn hiki mkuu?
Umekaa wapi vile?Labda billnas afanye biashara za maana apate mpunga au atoe hits apate show kiufupi ALETE mpunga mezani otherwise NDOA hii ikifika miaka 2 niite mbwa