Hongera Bwana Othman M. Bawaji na Amri M.Bawaji kwa kuturudishia jarida pendwa la Sani

Hongera Bwana Othman M. Bawaji na Amri M.Bawaji kwa kuturudishia jarida pendwa la Sani

Hui hui yupo dimba la kati timu ya Bush stars kama kawa? Vipi Kipepe safari hii kaambulia kitoweo? Ndumilakuwili na utapeli wake je hajatiwa nguvuni? Lodi lofa mzee wa majivuno na majibu ya kukera bado hajakumbana na mwenye majibu makali zaidi? Ngoja nijitafutie nakala yangu,sijui nikoani litakuwa limeshafika?
 
Back
Top Bottom