Serikali ya CCM chini ya mw/kiti wake raisi JPM kutimiza majukumu yake ktk mikoa yetu ya Kilimanjaro na Arusha, afu na sisi wenyeji wa mikoa hii ambao wengi ni wachaga kumpongeza, huko sio kulamba miguu. Bali ni kushukur kwa kile au yale mazuri yanayofanywa na serikali, tuache kujidanganya kwamb kila kitu tulifanya wenyewe
Nauli Tsh ngapi?Kiukweli kurejea kwa usafiri wa gari moshi kanda ya kaskazini imekuwa ni mkombozi mkubwa kwetu hasa nyakati hizi za sikukuu za kufungia mwaka.
Shukrani pekee ziwaendee viongozi wa CCM na hasa komredi Polepole kwa kuhakikisha usafiri wa gari Moshi unarejea.
2020 hakuna mchagga atakula Krismas na mwaka mpya Dar es salaam, sote tutakuwa nyumbani Kilimanjaro.
Karibuni wageni.
Maendeleo hayana vyama!
Inaanzia 16,000Nauli Tsh ngapi?
Nenda stesheni uone wanavyogombania tiketi bwashee!Hamna mchaga boya wa kutetemekea treni.
Asante Bwashee!! Mimi nipo MANYARA!!!Inaanzia 16,000
Karibu bwashee wewe na familia!
Nenda stesheni uone wanavyogombania tiketi bwashee!
Wengi walikuwa wanafeli nauli!Ni sawa, lakini miaka yote wachaga huenda huko Kilimanjaro bila kujali treni ipo au haipo.
Sasaivi wanaenda bure?Wengi walikuwa wanafeli nauli!
Kama nauli inakushinda unaenda moshi kufanya nini kama sio kuhamisha umasikini Dar kuhamishia moshi?Wengi walikuwa wanafeli nauli!
Kutambika!Kama nauli inakushinda unaenda moshi kufanya nini kama sio kuhamisha umasikini Dar kuhamishia moshi?
Kutambika!
Ndio wameenda mwaka huu kwa nauli poa ya gari moshi!Ataenda akipata nauli.
Ccm wanacreat tatizo zen wanalitatua halafu wanakaa kwenye kona wakisubiri pongeziKiukweli kurejea kwa usafiri wa gari moshi kanda ya kaskazini imekuwa ni mkombozi mkubwa kwetu hasa nyakati hizi za sikukuu za kufungia mwaka.
Shukrani pekee ziwaendee viongozi wa CCM na hasa komredi Polepole kwa kuhakikisha usafiri wa gari Moshi unarejea.
2020 hakuna mchagga atakula Krismas na mwaka mpya Dar es salaam, sote tutakuwa nyumbani Kilimanjaro.
Karibuni wageni.
Maendeleo hayana vyama!
Ndio wameenda mwaka huu kwa nauli poa ya gari moshi!
Aliyeuwa safari za treni ndiye anayezifufua na bado anataka kusifiwa ! huu ubwege waufanye masikini wanaolipwa elfu 7 kwa wikiKiukweli kurejea kwa usafiri wa gari moshi kanda ya kaskazini imekuwa ni mkombozi mkubwa kwetu hasa nyakati hizi za sikukuu za kufungia mwaka.
Shukrani pekee ziwaendee viongozi wa CCM na hasa komredi Polepole kwa kuhakikisha usafiri wa gari Moshi unarejea.
2020 hakuna mchagga atakula Krismas na mwaka mpya Dar es salaam, sote tutakuwa nyumbani Kilimanjaro.
Karibuni wageni.
Maendeleo hayana vyama!
Ni Mimi huwa sielewi au kichwa changu kinakataa tu?Kiukweli kurejea kwa usafiri wa gari moshi kanda ya kaskazini imekuwa ni mkombozi mkubwa kwetu hasa nyakati hizi za sikukuu za kufungia mwaka.
Shukrani pekee ziwaendee viongozi wa CCM na hasa komredi Polepole kwa kuhakikisha usafiri wa gari Moshi unarejea.
2020 hakuna mchagga atakula Krismas na mwaka mpya Dar es salaam, sote tutakuwa nyumbani Kilimanjaro.
Karibuni wageni.
Maendeleo hayana vyama!
Shukuru kwa kuletewa meli ziwa Nyasa!Aliyeuwa safari za treni ndiye anayezifufua na bado anataka kusifiwa ! huu ubwege waufanye masikini wanaolipwa elfu 7 kwa wiki
Je hazikuwepo kabla ? MV Iringa na MV Songea nani aliziua ?Shukuru kwa kuletewa meli ziwa Nyasa!