Kama DStv vile, napenda kuupa hongera uongozi wa CMG kwa uamuzi wao wa kumshirikisha mchezaji mstaafu Amri Kiemba katika kipindi cha michezo cha siku ya Jumapili mchana kuanzia saa saba mchana.
Ukweli japo hawamtumii vilivo katika maoni yake kisoka hasa la kwetu lakini imepunguza blabla za wanaojifanya kulijua soka kwenye "mic" na kipindi kinapendeza.
Nadhani sio vibaya kwa radio nyengine kufuata utaratibu huu.Ila bado ' hajakomaa ' kivile katika ' analysis ' lakini ninavyomuona kwa sasa taratibu anaanza kuwa vizuri na ' with time ' atakuja kuwa bonge la ' Mchambuzi ' na kikubwa ninachokipenda kutoka Kwake Amri Kiemba ni upole wake, heshima na Mtu asiye na makuu wala mpenda Sifa / Shobo. Namtabiria makubwa kote kote kule katika Klabu yake ya REA FC akiwa kama Mkurugenzi wa Ufundi na huku katika ' Sports Analysis ' pia.
Alikuwa kama mgeni au atakuwepo kweny vipindi vyote vya michezo clouds!!??Kama DStv vile, napenda kuupa hongera uongozi wa CMG kwa uamuzi wao wa kumshirikisha mchezaji mstaafu Amri Kiemba katika kipindi cha michezo cha siku ya Jumapili mchana kuanzia saa saba mchana.
Ukweli japo hawamtumii vilivo katika maoni yake kisoka hasa la kwetu lakini imepunguza blabla za wanaojifanya kulijua soka kwenye "mic" na kipindi kinapendeza.