Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,703
- 1,724
Kama DStv vile, napenda kuupa hongera uongozi wa CMG kwa uamuzi wao wa kumshirikisha mchezaji mstaafu Amri Kiemba katika kipindi cha michezo cha siku ya Jumapili mchana kuanzia saa saba mchana.
Ukweli japo hawamtumii vilivo katika maoni yake kisoka hasa la kwetu lakini imepunguza blabla za wanaojifanya kulijua soka kwenye "mic" na kipindi kinapendeza.
Ukweli japo hawamtumii vilivo katika maoni yake kisoka hasa la kwetu lakini imepunguza blabla za wanaojifanya kulijua soka kwenye "mic" na kipindi kinapendeza.