Hongera CP Hamduni Salum kwa kumpigia simu Elioth Lyimo na kuagiza maafisa wa TAKUKURU mkoani Kilimanjaro wafungue jalada la uchunguzi

Ni mapema mno kumpongeza kwani nina imani wengi wameshafikisha malalamiko yao kwake na sidhani kama wote wamepigiwa simu.
 
Hata hao kina KASESERA NA ALLY HAPI watu wa HAKI ZA BINADAMU WATANGAZIENI WALIOONEWA NA KUDHULUMIWA WAJITOKEZE MAANA NINA UHAKIKA KASESERA NI KIONGOZI MUHUNI SANA HAYO MATENDO YAO WANAYAFICHA KWA MUDA TUU SI UMEONA PEMBE LA NG'OMBE HALIFICHIKI CHALAMILA KALIONESHA NA JANA NIMEONA HAPPY NAE ANALITOA KWA MBALI
 
abaya ni mwanaCCM mwenzangu. Lakini simuungimkono kwenye hizi kadhia alizowafanyia wananchi aliopaswa kuwalinda na kuwawekea mazingira bora ya kuishi kwa mujibu wa Katiba.

Kuna shughuli ya kuchangishana fedha inaendelea huko FaceBook ambapo wanaCCM wenzangu wanaendesha kampeni ya kuchangisha fedha za kusaidia kesi ya Sabaya aweze kuwekewa wakili na kadhalika.

Nasema hivii, Kila mtu ashinde mechi zake.

CCM Hoyeee
 
Je baada ya hili kubainika ni ama tulikuwa hatuna serikali ama tulikuwa na serikali ya kiharamia. Na sasa Waziri Mkuu baada ya dudu hili kuanikwa anapaswa kujiuliza je bado anastahiki kuendelea kuwepo katika nafasi hiyo au anapaswa kuomba radhi hadharani na kukemea uovu ule...?
Mwenyezi Mungu atunusuru na hawa waovu kurejea katika hizi nafasi.
Haya shime wapambe wa mtuhumiwa shikeni brashi mpambane na ushahidi wa CCTV
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…