Hongera CP Hamduni Salum kwa kumpigia simu Elioth Lyimo na kuagiza maafisa wa TAKUKURU mkoani Kilimanjaro wafungue jalada la uchunguzi

Hongera CP Hamduni Salum kwa kumpigia simu Elioth Lyimo na kuagiza maafisa wa TAKUKURU mkoani Kilimanjaro wafungue jalada la uchunguzi

Napenda kutumia fursa hii kumpongeza kwa dhati Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, CP Salum Hamduni kwa kumpigia simu mzee Lyimo na kuagiza maafisa wa TAKUKURU mkoani Kilimanjaro wafungue jalada la uchunguzi.

Mzee Lyimo ni mfanyabiashara ambaye aliporwa TZS 25M na aliyekua Mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya. Inaelezwa kuwa Sabaya alikua na desturi ya kufuatilia akaunti za wafanyabiashara wakubwa na kujua kiasi walichonacho bank.

Baada ya kufuatilia akaunti ya mzee Lyimo na kujiridhisha kuwa ana "mzigo wa kutosha" bank, alimvamia nyumbani kwake akiwa na mabaunsa, pamoja na askari polisi wa kituo cha polisi Bomang'ombe. Askari hao walibaki nje ya geti wakiwa kwenye gari. Inadaiwa Sabaya aliambatana na Juma Rahibu ambaye kwa sasa ni Meya wa Moshi.

Waliingia ndani wakiwa na mabegi mawili. Walitoa silaha na kuwaweka chini ya ulinzi familia nzima. Kisha wakamchukua mzee Lyimo na kuzungumza nae. Sabaya akamwambia "nahitaji 25M sasa hivi, ama nikukabidhi haya mabegi yawe yako"

Akafungua kumuonesha begi moja lina bangi na jingine lina mirungi. Mzee Lyimo akaona anatengenezewa kesi ya madawa ya kulevya ambayo haina dhamana. Na ukizingatia umri wake anaweza kufia gerezani. Basi akakubali kutoa kiasi hicho cha pesa.

Sabaya akaagiza polisi waliokua nje na "difenda" wamsindikize bank, ambapo alienda kutoa kiasi hicho cha pesa na kuja kumkabidhi Sabaya. Matukio yote yalirekodiwa kwenye CCTV za nyumbani kwa mzee Lyimo lakini Sabaya wala hakujali. Alijua mamlaka inayomlinda ni kubwa sana.

Hata hivyo mzee Lyimo hakuridhika na akaamua kutafuta haki yake kimyakimya. Akaenda kuripoti TAKUKURU lakini hawakumsaidia, akaripoti polisi hawakumsaidia. Baadae akamwambia Godbless E.J. Lema ambaye alilifikisha kwa Waziri mkuu lakini hakuna hatua yoyote iliyochukuliwa.

Sasa baada ya Sabaya kukamatwa, Lema akaamua kuandika tweet ya kukumbushia haki ya mzee Lyimo. Baada ya kuona tweet hiyo mamlaka zimeanza kuchukua hatua. CP Hamduni amempigia simu mzee Lyimo na tayari TAKUKURU Kilimanjaro wameshafungua jalada. Hongera sana Hamduni, naamini mzee Lyimo atapata haki yake.

View attachment 1818470
Ngoja tuone kama huu uzushi na njama zenu mabwanyeye wa kimachame zitafanikiwa
Napenda kutumia fursa hii kumpongeza kwa dhati Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, CP Salum Hamduni kwa kumpigia simu mzee Lyimo na kuagiza maafisa wa TAKUKURU mkoani Kilimanjaro wafungue jalada la uchunguzi.

Mzee Lyimo ni mfanyabiashara ambaye aliporwa TZS 25M na aliyekua Mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya. Inaelezwa kuwa Sabaya alikua na desturi ya kufuatilia akaunti za wafanyabiashara wakubwa na kujua kiasi walichonacho bank.

Baada ya kufuatilia akaunti ya mzee Lyimo na kujiridhisha kuwa ana "mzigo wa kutosha" bank, alimvamia nyumbani kwake akiwa na mabaunsa, pamoja na askari polisi wa kituo cha polisi Bomang'ombe. Askari hao walibaki nje ya geti wakiwa kwenye gari. Inadaiwa Sabaya aliambatana na Juma Rahibu ambaye kwa sasa ni Meya wa Moshi.

Waliingia ndani wakiwa na mabegi mawili. Walitoa silaha na kuwaweka chini ya ulinzi familia nzima. Kisha wakamchukua mzee Lyimo na kuzungumza nae. Sabaya akamwambia "nahitaji 25M sasa hivi, ama nikukabidhi haya mabegi yawe yako"

Akafungua kumuonesha begi moja lina bangi na jingine lina mirungi. Mzee Lyimo akaona anatengenezewa kesi ya madawa ya kulevya ambayo haina dhamana. Na ukizingatia umri wake anaweza kufia gerezani. Basi akakubali kutoa kiasi hicho cha pesa.

Sabaya akaagiza polisi waliokua nje na "difenda" wamsindikize bank, ambapo alienda kutoa kiasi hicho cha pesa na kuja kumkabidhi Sabaya. Matukio yote yalirekodiwa kwenye CCTV za nyumbani kwa mzee Lyimo lakini Sabaya wala hakujali. Alijua mamlaka inayomlinda ni kubwa sana.

Hata hivyo mzee Lyimo hakuridhika na akaamua kutafuta haki yake kimyakimya. Akaenda kuripoti TAKUKURU lakini hawakumsaidia, akaripoti polisi hawakumsaidia. Baadae akamwambia Godbless E.J. Lema ambaye alilifikisha kwa Waziri mkuu lakini hakuna hatua yoyote iliyochukuliwa.

Sasa baada ya Sabaya kukamatwa, Lema akaamua kuandika tweet ya kukumbushia haki ya mzee Lyimo. Baada ya kuona tweet hiyo mamlaka zimeanza kuchukua hatua. CP Hamduni amempigia simu mzee Lyimo na tayari TAKUKURU Kilimanjaro wameshafungua jalada. Hongera sana Hamduni, naamini mzee Lyimo atapata haki yake.

View attachment 1818470
Ngoja tuone kama hawa mabwanyenye wa kimachame watafanikiwa kumzushia sabaya kesi. Dc mzima akamvamie mfanyabiashara na kumpora pesa? Lema anafikiri kwa kua alikua mwizi wa magari na kisha kufanikiwa kua mbunge basi hata dc mteule wa rais anaweza kusingiziwa ujambazi.
 
System za TZ siyo nzuri- Hivi kwanini mpaka agizo litoke juu kama tukio limetokea katika eneo lako? Kwa mfano jana mama katilia shaka gharama za ujenzi wa jengo BOT Mwanza- Sasa kwa ishu kama ile mpaka mama awaagize tena TAKUKURU?
Yaani ni shida... kweli aisee mpaka mama pia jengo hilo la BOT,kama kashtukia gharama na sijui hata kulikuwa na umuhimu gani kwa jengo kujengwa na Gym pia humo ndani, badala ya vitu vile vya msingi wa shughuli za BOT.... Gym inajengwa humo kutumia kodi za wananchi ... kazi kwelikweli.
 
System za TZ siyo nzuri- Hivi kwanini mpaka agizo litoke juu kama tukio limetokea katika eneo lako? Kwa mfano jana mama katilia shaka gharama za ujenzi wa jengo BOT Mwanza- Sasa kwa ishu kama ile mpaka mama awaagize tena TAKUKURU?
Dawa ni katiba mpya itayorejesha mamlaka kwa watu.
 
nikifikiria nje ndan. Na ukristo wangu wote. nahitimisha na hili. TUKUBALIANE TU KIROHO SAFI WAISLAM WAWE NDO VIONGOZI WA NAFASI ZENYE UHITAJI MKUBWA WA HAKI NA HOFU YA MUNGU! until further notice and FATHER notices.
 
Huyu Dogo alikua fala sana, alikua anafanya matukio na Anaacha ushahidi.
Nchi kweli tuliikabidhi kwa washamba na malimbukeni, huyu mmaasai hafai hata kukamua ng'ombe maziwa, yaani aliamini ni untouchable kiasi hiki??

Kila alipokwenda kuharibu alikuwa anarekodiwa mwanzo mwisho, Mungu amhoji mwendazake anamuachaje Sabaya na hakumchukua waende wote??

Aisee, pole kwa familia ya Lyimo.

Everyday is Saturday.............................. 😎
 
Historia inatukumbusha mengi. Enzi zile Hitler akiwaongoza Wajerumani na kuwatumbukiza katika shimo lenye kiza, waliendelea kumsifu na kumtukuza. Mwisho wake walishindwa na kugundua makosa waliyofanya katika kipindi hicho. Hadi sasa bado kuna Mataifa hapa Duniani ambayo yanaishi katika mazingira kama yale ya enzi za Hitler pamoja na kuwepo kwa historia hiyo. Mara nyingi viongozi wanayofanya haya wanakuwa kama miungu watu na hutumia vyombo vya dola kuhakikisha kwamba wanaendelea kuwa watawala daima dawamu. Maovu yana mwisho na mara nyingi viongozi hao mwisho wao huwa mbaya sana.
 
images.jpg
images.jpg
 
Mimi naamini nilichoambiwa kuhusu marehemu, ilikuwa ni kweli. Sidhani kama marehemu, wakati wote alikuwa katika ufahamu wake. Na yeye mwenyewe aliwahi kudokeza mara mbili:

"Itategemea hiyo siku nimeamkaje"
" Nimekuteua wewe Mpina kwa sababu wewe ni kichaa mwenzangu'
 
Ukijaribu kutafakari kwa kina na kama sheria isipopindishwa...

Kama kuna ubaya/uovu wowote utathibika kwamba Sabaya aliufanya, basi sheria isimuache hata mmoja aliyeshirikiana naye/aliyemuwezesha...

Haiingii akilini hata kidogo kwamba ubaya wote Sabaya aliamua tu kuufanya kwa sababu alikuwa na nia ovu, lazima kulikuwa na wakubwa zake ama anachukuaa maagizo kwao au anakingiwa kifua nao...
 
Napenda kutumia fursa hii kumpongeza kwa dhati Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, CP Salum Hamduni kwa kumpigia simu mzee Lyimo na kuagiza maafisa wa TAKUKURU mkoani Kilimanjaro wafungue jalada la uchunguzi.

Mzee Lyimo ni mfanyabiashara ambaye aliporwa TZS 25M na aliyekua Mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya. Inaelezwa kuwa Sabaya alikua na desturi ya kufuatilia akaunti za wafanyabiashara wakubwa na kujua kiasi walichonacho bank.

Baada ya kufuatilia akaunti ya mzee Lyimo na kujiridhisha kuwa ana "mzigo wa kutosha" bank, alimvamia nyumbani kwake akiwa na mabaunsa, pamoja na askari polisi wa kituo cha polisi Bomang'ombe. Askari hao walibaki nje ya geti wakiwa kwenye gari. Inadaiwa Sabaya aliambatana na Juma Rahibu ambaye kwa sasa ni Meya wa Moshi.

Waliingia ndani wakiwa na mabegi mawili. Walitoa silaha na kuwaweka chini ya ulinzi familia nzima. Kisha wakamchukua mzee Lyimo na kuzungumza nae. Sabaya akamwambia "nahitaji 25M sasa hivi, ama nikukabidhi haya mabegi yawe yako"

Akafungua kumuonesha begi moja lina bangi na jingine lina mirungi. Mzee Lyimo akaona anatengenezewa kesi ya madawa ya kulevya ambayo haina dhamana. Na ukizingatia umri wake anaweza kufia gerezani. Basi akakubali kutoa kiasi hicho cha pesa.

Sabaya akaagiza polisi waliokua nje na "difenda" wamsindikize bank, ambapo alienda kutoa kiasi hicho cha pesa na kuja kumkabidhi Sabaya. Matukio yote yalirekodiwa kwenye CCTV za nyumbani kwa mzee Lyimo lakini Sabaya wala hakujali. Alijua mamlaka inayomlinda ni kubwa sana.

Hata hivyo mzee Lyimo hakuridhika na akaamua kutafuta haki yake kimyakimya. Akaenda kuripoti TAKUKURU lakini hawakumsaidia, akaripoti polisi hawakumsaidia. Baadae akamwambia Godbless E.J. Lema ambaye alilifikisha kwa Waziri mkuu lakini hakuna hatua yoyote iliyochukuliwa.

Sasa baada ya Sabaya kukamatwa, Lema akaamua kuandika tweet ya kukumbushia haki ya mzee Lyimo. Baada ya kuona tweet hiyo mamlaka zimeanza kuchukua hatua. CP Hamduni amempigia simu mzee Lyimo na tayari TAKUKURU Kilimanjaro wameshafungua jalada. Hongera sana Hamduni, naamini mzee Lyimo atapata haki yake.

View attachment 1818470
Usalama pekee wa Sabaya ni kifungo cha Maisha .
 
nikifikiria nje ndan. Na ukristo wangu wote. nahitimisha na hili. TUKUBALIANE TU KIROHO SAFI WAISLAM WAWE NDO VIONGOZI WA NAFASI ZENYE UHITAJI MKUBWA WA HAKI NA HOFU YA MUNGU! until further notice and FATHER notices.
Ona huyu mjinga
 
Back
Top Bottom