BOMBAY
JF-Expert Member
- Apr 16, 2014
- 4,732
- 3,508
Ulivyopopoma unamtusi mpaka mama yakoWaswahili Takataka Tupu nadhani ukiondoa wagogo, waswahili ndo watu ovyo kuwahi kuwepo nchi hii.
Sent from my ConeXis X1 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulivyopopoma unamtusi mpaka mama yakoWaswahili Takataka Tupu nadhani ukiondoa wagogo, waswahili ndo watu ovyo kuwahi kuwepo nchi hii.
DuuuuuuuAcha upopoma we makalio,penny mwenyewe alitulia sababu aliambiwa ukweli wewe povu tu mamaeee
Sent from my ConeXis X1 using JamiiForums mobile app
Wewe ni mchawiDiamond bana, mbele ya camera anajifanya mtu mwema, nyuma ya pazia anawafitini na kuwaroga, huyu jamaa ni snitch
Unafanya ujinga makusudi halafu unategemea msamahaTokea amdhalilishe mwanamke aliyemzalia watoto, simpendi huyu mtoto. Mungu anisamehe tu.
Huyo dogo uelewa wake ni mdogo sana. Atakuumiza kichwaHivi ni Diamond kamtoza au mkataba ndo umemtoza?!
Ungekuwa unafahamu mikataba ya muziki inavyokuwa duniani kote, wala usingetaja hilo la 500M! In short, kumtoza Sh. 500M kwa Harmonize hiyo ni pesa ndogo sana kwa sababu thamani yake kwa sasa ni zaidi ya hiyo 500M, wakati aliingia WCB akiwa hana uwezo wa kulipia hata pesa ya studio!Bwana mdogo kajua kucheza akili za wadanganyika..
Katoka kumtoza mil500 mmakonde wa watu km ada ya kuvunja mkataba, lakni leo anajidai kumtaka kijana ashiriki tamashani..
ni sawa na kusema, ili soka la bongo liendelee basi team za mpira hazina budi kuunganaIli wasanii wa bongo wafikie malengo hawanabudi kuungana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu,lengo langu ni kwamba, wasanii,wasaidiane katika kufikia malengo yao na sio kupigana vikumbo ili waweze kutoboa kimataifa na kimafanikio.ni sawa na kusema, ili soka la bongo liendelee basi team za mpira hazina budi kuungana
Bwana mdogo kajua kucheza akili za wadanganyika..
Katoka kumtoza mil500 mmakonde wa watu km ada ya kuvunja mkataba, lakni leo anajidai kumtaka kijana ashiriki tamashani..
unaelewa maana ya mkataba nini, kama kaonewa si angeenda mahakamani..ama unatumia hisia ku- judge kitu kuliko uhalisia??Bwana mdogo kajua kucheza akili za wadanganyika..
Katoka kumtoza mil500 mmakonde wa watu km ada ya kuvunja mkataba, lakni leo anajidai kumtaka kijana ashiriki tamashani..
Na hapa ndio watu wengi wanapoenda chaka na kuona kibakuli ndie mkorofi jamaa anajua sana kucheza na media mafia sana chinichini!Diamond bana, mbele ya camera anajifanya mtu mwema, nyuma ya pazia anawafitini na kuwaroga, huyu jamaa ni snitch
Eeh kweli Lokole maana naona hadi profile tumeweka ya nyumbani!Sawa Juma Lokole
Kuweni na kumbukumbu penny mwenyewe ndio alianza akasema Diamond hana uwezo wa kumpa mwanamke mimba uzi upo humu kitambo sanaKamtangaza Mpaka Penny Katoa Mimba Yake Kwenye Media, Alipoona Haitoshi Akamtangaza Mpaka Kwenye Wimbo.
Yaani Itakumbukwa Vizazi Kuwa Penny Alitoa Mimba Ya Domo.
Sijui Kwanini Penny Hakumpeleka Mahakamani Kwa Kumfanyia Defamation Ya Hali Ya Juu.
Bwana mdogo kajua kucheza akili za wadanganyika..
Katoka kumtoza mil500 mmakonde wa watu km ada ya kuvunja mkataba, lakni leo anajidai kumtaka kijana ashiriki tamashani..
Leo mnamuita mmakonde lakini kipindi yupp WCB alikuwa mungu mtu ama kwelu duniani wanafki ni wengi wengine wanafuata upepo tu hawaelewi hata hatma yao ni niniLile ni takwa la mkataba ambalo Mmakonde akiwa na akili timamu na bila kushurutishwa na mtu alilisaini mwenyewe, sasa sijui ulitaka Diamond afanyeje. Wabongo tunaendekeza sana ujamaa kwenye kazi ndo maana kutoboa kwetu ni kazi.