BansenBurner
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,810
- 5,773
Swahiba umeandika jambo jema ndondondo si chururu kama mipango madhubuti inafanya nasi tunaweza Kuchangia sio tuishie kuchangia threads humu na likes za kumwaga.Ni kwa kutoa ndio tunapokea (lakini ni mpaka tuwe na hivyo cha kutoa) danya mimi na wewe tutatoa bei gani? Na wanajf wengine je?
Kwa uchache wa wingi wetu kwa kidogo tutakachojaliwa nasi tunapaswa kutoa chochote as JF members, na kama wazazi ndugu jamaa na marafiki
Hebu tujaribu kufanya pledges sisi wenyewe mimi nitatoa 20,000/=Swahiba umeandika jambo jema ndondondo si chururu kama mipango madhubuti inafanya nasi tunaweza Kuchangia sio tuishie kuchangia threads humu na likes za kumwaga.
Mimi 10000Hebu tujaribu kufanya pledges sisi wenyewe mimi nitatoa 20,000/=
Tayari tumepata 30 ngoja tuoneMimi 10000
Hzo pesa anzen kuzituma kwenye hii namba 0687594382 muweka hazinaInsha'allah nitatoa 20.000
Aaah yaani we mada yote umemwona mrembo tu[emoji7]mrembo.....mzima?
Wapi team AJE...teh teh teh...Mapovuuuuu
Sio sifa wala nini babake alimkana tangu tumboni na hayo ndo malipo anayostahili hapo wa kulaumiwa wala si diamond huyo baba alivomkataa alitegemea lipi asingemkana leo nae angekua anatumia tuHuyu kijana kila siku wanasema baba yake mgonjwa na anaomba misaada kwa watu,sasa je kamsaidia?asijekuwa anatafuta misifa kwenye mitandao huku ndugu zake wanaumia bila msaada wowote!View attachment 378684
Pia anavyo fanya sherehe ya kuzaliwa mtoto wake na kutenga bajeti kubwa muache kumsimanga!
Hahaaa.[emoji85] [emoji85] [emoji85]Mzima kabsa nambie
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]