Si wote wanasumbuliwa na mimba,wengine unamkuta yupo tu na endelea na 50 zakekwa Diamond kutaka mtoto mwingine ni sawa, ila kwa huyu mama ni kazi, nikifikiria mkewangu mimba 1 tu ilivyompa shida sasa huyu mimba zote hizo kwa mda mfupi anakuwa na hali gani?
Ni siku hizi tu wanawake wamekuwa na maumbile ya mwendo kasi, maisha ya kuamka asubuhi mkate, butter, maziwa viko kwenye fridge, unachemsha maji unakunywa chai. Ninamkumbuka mama mmoja alizaa watoto 19 bila hata ceaser wala kisu. Mimba zote asubuhi anakwenda kutafuta kuni na kuchota maji.Si wote wanasumbuliwa na mimba,wengine unamkuta yupo tu na endelea na 50 zake
Wanawake wanatofaitiana katika uwezo wa kubeba mimba. Wapo ambao ikiingia tu wanapata bed rest na wengine wanalima hadi siku ya kujigunfua. Mkeo siyo kipimo katika hilo, lete hoja nyingine.kwa Diamond kutaka mtoto mwingine ni sawa, ila kwa huyu mama ni kazi, nikifikiria mkewangu mimba 1 tu ilivyompa shida sasa huyu mimba zote hizo kwa mda mfupi anakuwa na hali gani?
watz mnajifanya mnajua kila kitu mtadhani nyie ndio mlimwagiwa hizo sperm au mtadhani nyie ndio mliobeba hiyo mimba,acheni upambavu......kama mlimwagiwa nyie ndo yeye akapata hiyo mimba mseme wazi tu sio kujifanya wajuaji...Huyo ndiyo anaweza kuwa first born wa Mond, Tiffa aliuziwa mbuzi kwenye gunia
Basi sawaWanawake wanatofaitiana katika uwezo wa kubeba mimba. Wapo ambao ikiingia tu wanapata bed rest na wengine wanalima hadi siku ya kujigunfua. Mkeo siyo kipimo katika hilo, lete hoja nyingine.
Zari yaonekana hatumii madawa ya uzazi wa mpango safi sana.Madawa yanaharibu sana kizazikwa Diamond kutaka mtoto mwingine ni sawa, ila kwa huyu mama ni kazi, nikifikiria mkewangu mimba 1 tu ilivyompa shida sasa huyu mimba zote hizo kwa mda mfupi anakuwa na hali gani?
kwa Diamond kutaka mtoto mwingine ni sawa, ila kwa huyu mama ni kazi, nikifikiria mkewangu mimba 1 tu ilivyompa shida sasa huyu mimba zote hizo kwa mda mfupi anakuwa na hali gani?
Huyo ndiyo anaweza kuwa first born wa Mond, Tiffa aliuziwa mbuzi kwenye gunia
umeona eeh,wengine wanadiriki hata kusema kwa tiffa mondi aliuziwa mbuzi kwenye gunia,usikute huyu anaesema haya hata mtoto wa kucngiziwa hana,yani hana hata uwezo wa kutia mimba kabsaaaaaaaaaaaaMnajadili hadi mimba,sishangai mashoga wakimzidi kete mkuu maana ni wengi sasa
km Ivan alikua na lengo la kumrudia Zarina basi hali ishakua mbaya zaidi....Habar mbaya sana hii kwa mange,Hamisa,Nasma na pia inaweza ikawa mbaya kwa mama diamond.