Raimundo
JF-Expert Member
- May 23, 2009
- 13,416
- 12,618
Kama sikosei huyu ndio atakuwa first born.
Mkuu una uhakika gani?
Maana Zari anaenda South kila leo na anafikia kwenye nyumba ya Mume wake wa zamani (nasikia eti).
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama sikosei huyu ndio atakuwa first born.
Kwa hiyo Mondi ni BushokeMkuu una uhakika gani?
Maana Zari anaenda South kila leo na anafikia kwenye nyumba ya Mume wake wa zamani (nasikia eti).
Kwa hiyo Mondi ni Bushoke
Diamond ni nani??Wana jamvi wasalaam.
Kwa niaba ya wanaume wa Dodoma! ule msemo wa mwende mkaijaze dunia umeendelea kutimizwa na ndugu Diamond.
Na sasa anatarajia kuleta mwingine duniani.
View attachment 372896
Duh! sasa unataka kusema kwamba Zari ni incubator?jamani sio mfatiliaji sana wa haya mambo ila kuna siku nilimsikia GF wangu akisema huyo zari mtoto aliye naye kwa diamond ni wa 5 sasa huyo ni wa 6 au??/
Ungekuwa na hela usingekuwa na mawazo kama haya! thats whyItakuwa kali sasa
Mwanangu kamzidi Tiffa miezi 6
Lakini sina hata fikra
Kwan lazima afanye Kama ulivyojipangia wewe " kila mmoja na lifestyle yakeItakuwa kali sasa
Mwanangu kamzidi Tiffa miezi 6
Lakini sina hata fikra
Utaratibu wa maisha hauwezi kufanana.Itakuwa kali sasa
Mwanangu kamzidi Tiffa miezi 6
Lakini sina hata fikra
Fikra zitakujaje wakati unaishi kwa posho ya buku 7[emoji14]Itakuwa kali sasa
Mwanangu kamzidi Tiffa miezi 6
Lakini sina hata fikra