Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Rafiki si kila kitu tunaweka hapaRafiki babu asprin anakuoa lini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rafiki si kila kitu tunaweka hapaRafiki babu asprin anakuoa lini?
Hii iwe ujumbe tosha kwa wale wadada wanaojiita wazuri sana wanaotakwa na kila mtu, kwamba wao ni viburudisho tu sio "wake".Shangaa wewe lijanamke likuuuuuuuuuuubwa kama kiboko tank la ltr 5000
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh!!!haya maelezo yako hayana hata chembe ya adabu.Shangaa wewe lijanamke likuuuuuuuuuuubwa kama kiboko tank la ltr 5000
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji106]Mbona ni binti mrembo tu kama unene unajuaje mwenyewe amependa unene nakuunga mkono ndoa ni zaidi ya kitambi.Hongera sana bwana mdogo Cheni Mungu awape umri marefu na mzidi kupendana zaidi na zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo yalikuwa zamani, siku hizi ni mwendo wa oversize tuMi nilijua mama yake,, mwanaume unatakiwa uoe mtoto mbichiii,,sasa huyo mikiki ya usiku si goigoi jomoni
Ni maoni tu
Mwanzoni mkewe ulipomuoa alikuwa na mwili wa kawaida tu lakin kadri mnavyoendelea kuishi anazidi kuwa mmene pale ndani.Mi nilijua mama yake,, mwanaume unatakiwa uoe mtoto mbichiii,,sasa huyo mikiki ya usiku si goigoi jomoni
Ni maoni tu
Mastaa wanaoa pesa mkuuHuyo mama ake au mke wake??