Hongera Dk. Cheni kwa kutizimiza miaka 10 ya ndoa.

Tehteh
Mwenyewe hicho nimeandikiwa na mama klaree.. mwambie hubby akupeleke kwa Trump akupige msasa au Ngabu
Unataka washa moto [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Unataka washa moto [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
[emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40]
 
[emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40]
Wakati mwenzio sasa hivi napumua vyema moto nimeuzima
Halaf Sie tunaenda mweee sio kama Chen na mkewe
 
Wakati mwenzio sasa hivi napumua vyema moto nimeuzima
Halaf Sie tunaenda mweee sio kama Chen na mkewe
Inaonekana huyu bibie anateremsha michemsho saana. Kipindi anaolewa hakuwa hivyo
 
Jamani mnaomkashifu huyo dada sabra mnamkosea heshima huyo mtu alikua chuma cha maana mno enzi tuko shule moja kati ya watto wazuri kutoka shy town

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona bado ni mzuri tena sana mtoto anawaka sema watu wanapenda sana kukashifu ni sijabu hao wote wamaokashif wanamtamani. Huo unene jioni tatizo manaake tangu wapanue ni miaka 10 kwa hiyo walitegemea awe hivyo hivyo? Achana nao wapumbavu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unene huu sii afya hata kidogoo..

Haya mabroilers haya..
 
Docta???Tanzania bhana....Anyway hongera zao.

No matter how evil money is,but being broke is not holly.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…