Hongera dk. Joyce ndarichako, wizara ya elimu walimu wa sekondari kusimamia mtihani darasa la 7

Ha ha ha ha ha! Nasubiri kuona wale jamaa wa dini itakuwaje safari hii. Sijui kompyuta na mfumo utawaonea tena? Matokeo haya yatazua tena maandamano? Yetu macho.

wewe kwli kilaza na hujui ulisemalo.
Hata kama mitihani itasahihishwa na komputa..kama hujma hipo hipo tu.
 
Ha ha ha ha ha! Nasubiri kuona wale jamaa wa dini itakuwaje safari hii. Sijui kompyuta na mfumo utawaonea tena? Matokeo haya yatazua tena maandamano? Yetu macho.

wewe kwli kilaza na hujui ulisemalo.
Hata kama mitihani itasahihishwa na komputa..kama hujma hipo hipo tu.kumbuka kabla ya system kuanza kazi,ni lazima background programmer waandike code,sasa huko kwnye code ndio mchezo mchafu unachezeka.
 
MAMA POROJO, umeanza uchokozi wewe...Huyu mama nilimsikia mtu mmoja amemuweka kwenye list ya watu wa kung'olewa soon...teh teh teh
 
Mkuu kompyuta ni kipokea amri tu na kufanya kama amri zinavyosema kwa hiyo unaweza kulitegemea kompyuta kumbe limepewa amri sivyo ndivyo!! Tusubiri tujionee!!

achana nae huyo end-user.
Akili yake ilivyokuwa fupi anavyosikia neno komputa basi afikiri kama upo uwezekano wa kupata error.!
 
Hiyo ya walimu wa sekondari ilikuwa danganya toto mbona hilo halipo tena walimu wa shule za msingi ndiyo wanasimamia

SERIKALI DHAIFU UTOA MATAMKO DHAIFU NA MWISHO HUSHINDWA KUTEKELEZA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…