Hahahahaha msije mkaanza kumpelekea mara vipodozi mara dogo nimekuja kukusabahi kitambo hatujaonana...lakini huyo bibie akishusha single 1 tu basi kwisha kazi dogo ndo ataonekana mbichi zaidi.
watu bana hamuna dogo, mwanamke akiolewa na mtu mzima ohhhh!!! kaolewa na mzee, haya hapa tena mwamsema eddy kaoa mdada mkubwa loh!! Sijui lipi bora sasa? Anyway utakuta Eddy kaoa msichana umri wapo sawa ila sema huyo mdada ana mwili mkubwa.oh My!! dogo naona amekwenda kujitwisha mdada mkubwa (mzee). Hongera zake lakini hatujui nini kimemfanya afunge ndoa.
Masanilo-Hivi yupi mkubwa
hapa? I mean nani kamuoa nani?
Duh! nilijua anaonewa kumbe mwanamke mkubwa zaidi yake! akitoa single kwisha habari.