NGULI
JF-Expert Member
- Mar 31, 2008
- 4,801
- 643
Hahahahaha msije mkaanza kumpelekea mara vipodozi mara dogo nimekuja kukusabahi kitambo hatujaonana...lakini huyo bibie akishusha single 1 tu basi kwisha kazi dogo ndo ataonekana mbichi zaidi.
Kwi!kwi!kwi! Fidel huyo jamaa aliye msimamia ameoa? kuna jamaa nimesikia wanaquestion kitu flani nikashtuka hivi......