Hongera Feitoto kwa kuwakata kidomo-domo Utopolo

Hongera Feitoto kwa kuwakata kidomo-domo Utopolo

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
20240318_094807.jpg

Nitumie nafasi hii kumpongeza kiungo wa Azam FC Feisal Salum ‘Fei Toto’ baada ya kuitungua Utopolo goli la ushindi wa 2-1 kwenye mchezo dhidi ya waajiri wake wa zamani (Yanga SC) uliopigwa juzi Machi 17, 2024.

Huu unakuwa mchezo wa tatu kwa Feisal kukutana na Yanga toka ajiunge na Azam FC na linakuwa goli lake la kwanza kuiwamba Utopolo.

Wakati Fei akiwa kikata domo la Utopolo wiki ijayo kuna mambo mazuri zaidi yanakuja
 
Ndugu mbumbumbu Yanga kufungwa goli na Fei toto hakuna shida yoyote kwakua Yanga bado ita twaa ubingwa, Yanga kama timu mafanikio yake ni kutwaa mataji.

Feitoto kama atakua na akili za mbuzi kama zako nakuona kuifunga yanga ni taji la ubingwa kama wafanyavyo waajiri wake maana yake ameenda kwenye udumavu.

Feitoto anatakiwa apambane kuondoka kwenye mpira wetu na kwenda kucheza nje ya mipaka ya Tanzania.

Kama Fei ataona kufika Azam ndio mafanikio yake basi atakua yupo kwenye kundi la wachezji wengi wa kibongo ambao waliona mafanikio yao ni kuchezea timu kubwa za bongo.

Kulingana na umri wa Fei akishindwa kutoka ndani ya misimu hii miwili kupata timu nje ya Tanzania atakua amekwama yeye binafsi.
 
Ndugu mbumbumbu Yanga kufungwa goli na Fei toto hakuna shida yoyote kwakua Yanga bado ita twaa ubingwa, Yanga kama timu mafanikio yake ni kutwaa mataji.

Feitoto kama atakua na akili za mbuzi kama zako nakuona kuifunga yanga ni taji la ubingwa kama wafanyavyo waajiri wake maana yake ameenda kwenye udumavu.

Feitoto anatakiwa apambane kuondoka kwenye mpira wetu na kwenda kucheza nje ya mipaka ya Tanzania.

Kama Fei ataona kufika Azam ndio mafanikio yake basi atakua yupo kwenye kundi la wachezji wengi wa kibongo ambao waliona mafanikio yao ni kuchezea timu kubwa.
Kulingana na umri wa Fei akishindwa kutoka ndani ya misimu hii miwili kupata timu nje ya Tanzania atakua amekwama yeye binafsi.
Pole sana kwa maumivu makali. Feiiiii
 
Ndugu mbumbumbu Yanga kufungwa goli na Fei toto hakuna shida yoyote kwakua Yanga bado ita twaa ubingwa, Yanga kama timu mafanikio yake ni kutwaa mataji.

Feitoto kama atakua na akili za mbuzi kama zako nakuona kuifunga yanga ni taji la ubingwa kama wafanyavyo waajiri wake maana yake ameenda kwenye udumavu.

Feitoto anatakiwa apambane kuondoka kwenye mpira wetu na kwenda kucheza nje ya mipaka ya Tanzania.

Kama Fei ataona kufika Azam ndio mafanikio yake basi atakua yupo kwenye kundi la wachezji wengi wa kibongo ambao waliona mafanikio yao ni kuchezea timu kubwa za bongo.

Kulingana na umri wa Fei akishindwa kutoka ndani ya misimu hii miwili kupata timu nje ya Tanzania atakua amekwama yeye binafsi.
Mbona una hasira sana na Fei? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nenda wee huko nje, yeye Azam panamtosha sana.
 
Mbona una hasira sana na Fei? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nenda wee huko nje, yeye Azam panamtosha sana.
Mimi sina shida na Fei, Kwamaana akifanikiwa yeye na familia yake ita faidika Taifa pia.
Nchi hii wamepita wachezji wengi sana wenye vipaji ila wameishia apaapa.
Mimi binafsi nje nilisha kwenda na nashkuru nili chopata baada ya kutoka sihaba ila sikutoka kwa michezo.
 
Ndugu mbumbumbu Yanga kufungwa goli na Fei toto hakuna shida yoyote kwakua Yanga bado ita twaa ubingwa, Yanga kama timu mafanikio yake ni kutwaa mataji.

Feitoto kama atakua na akili za mbuzi kama zako nakuona kuifunga yanga ni taji la ubingwa kama wafanyavyo waajiri wake maana yake ameenda kwenye udumavu.

Feitoto anatakiwa apambane kuondoka kwenye mpira wetu na kwenda kucheza nje ya mipaka ya Tanzania.

Kama Fei ataona kufika Azam ndio mafanikio yake basi atakua yupo kwenye kundi la wachezji wengi wa kibongo ambao waliona mafanikio yao ni kuchezea timu kubwa za bongo.

Kulingana na umri wa Fei akishindwa kutoka ndani ya misimu hii miwili kupata timu nje ya Tanzania atakua amekwama yeye binafsi.
kumshauri mwenzako aende akatafute fursa nje ya nchi wakati wewe shughuli zako unafanyia hapahapa Tanzania NI UTAHIRA.
 
Mwasibu wa umoja wa mashoga kwenye moja na mbili....wewe jamaa mpira achana nao wewe kazi Yako ni kupakatwa.
 
Mashabiki wa simba huwa mnafarijika na vitu vidogo sana. All in all, hilo goli la Fei Toto, au Yanga kufungwa na hao Azam bado hakujabadilisha chochote!

Zaidi tu mwishoni mwa msimu timu yako inaweza kuishia tu kushika nafasi ya 3! Halafu mkaanza tena zile kelele zenu za kuwakataa baadhi ya wachezaji, na pia Mwenyekiti wenu Mangungu.
 
Good for him.
Mechi tatu mfululizo tangu ahamie Azam ameona wachezaji wa yanga wakiondoka uwanjani na Furaha. Ameona pia Aziz ki akiwapiga hat trick.
So, ni muda wake na yeye afurahi, kwa sababu ni mchezaji mzuri aliyenolewa kwa jasho la wananchi. let him enjoy, hatumdai na hatudai sisi wanayanga.
 
View attachment 2940663
Nitumie nafasi hii kumpongeza kiungo wa Azam FC Feisal Salum ‘Fei Toto’ baada ya kuitungua Utopolo goli la ushindi wa 2-1 kwenye mchezo dhidi ya waajiri wake wa zamani (Yanga SC) uliopigwa juzi Machi 17, 2024.

Huu unakuwa mchezo wa tatu kwa Feisal kukutana na Yanga toka ajiunge na Azam FC na linakuwa goli lake la kwanza kuiwamba Utopolo.

Wakati Fei akiwa kikata domo la Utopolo wiki ijayo kuna mambo mazuri zaidi yanakuja
Baadae mnaanza kumlaumu Mangungu wakati mafanikio mnayaona
 
Mimi sina shida na Fei, Kwamaana akifanikiwa yeye na familia yake ita faidika Taifa pia.
Nchi hii wamepita wachezji wengi sana wenye vipaji ila wameishia apaapa.
Mimi binafsi nje nilisha kwenda na nashkuru nili chopata baada ya kutoka sihaba ila sikutoka kwa michezo.
Sasa ndo utulizanee, yeye Fei Azam panamtosha sana, huko nje sio shida zake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeee
 
Good for him.
Mechi tatu mfululizo tangu ahamie Azam ameona wachezaji wa yanga wakiondoka uwanjani na Furaha. Ameona pia Aziz ki akiwapiga hat trick.
So, ni muda wake na yeye afurahi, kwa sababu ni mchezaji mzuri aliyenolewa kwa jasho la wananchi. let him enjoy, hatumdai na hatudai sisi wanayanga.
Hii imeambatana na maumivu makubwa mnoo.
Poleeeee afu relaaaaaxxxx [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom