mojave
JF-Expert Member
- Apr 30, 2016
- 5,568
- 6,424
naona unamsinich ngosha!😂Natumia nafasi hii kumpa hongera msanii Fid Q kwa kuaminika na kupewa ubalozi wa kutangaza hedhi salama kwa watoto wa kike.
Hakika unastahili sana kuwa balozi na mtoa elimu ya hedhi kwa vijana wa kike.
Watoa deal wameitendea haki kampeni yao.View attachment 1045067
Sent using Jamii Forums mobile app