Hongera gazeti la NIPASHE, mumejaribu kidogo

Hongera gazeti la NIPASHE, mumejaribu kidogo

Gulwa

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2008
Posts
10,597
Reaction score
16,394
Kauli ya NAPE Jana kuhusu wizi wa kura ilipaswa kuwa kwenye magazeti ya leo kama habari kuu kama ilivyotawala kwenye mitandao ya kijamii. Kutokana na kufinywa kwa uhuru wa habari, magazeti karibu yote yameipotezea kabisa. Ni Nipashe pekee lilipojaribu kuiandika japo kwa woga. Hongera Nipashe mmejeribu
 
Kauli ya NAPE Jana kuhusu wizi wa kura ilipaswa kuwa kwenye magazeti ya leo kama habari kuu kama ilivyotawala kwenye mitandao ya kijamii. Kutokana na kufinywa kwa uhuru wa habari, magazeti karibu yote yameipotezea kabisa. Ni Nipashe pekee lilipojaribu kuiandika japo kwa woga. Hongera Nipashe mmejeribu
Picha iko wapi mkuu
 
Kauli ya NAPE Jana kuhusu wizi wa kura ilipaswa kuwa kwenye magazeti ya leo kama habari kuu kama ilivyotawala kwenye mitandao ya kijamii. Kutokana na kufinywa kwa uhuru wa habari, magazeti karibu yote yameipotezea kabisa. Ni Nipashe pekee lilipojaribu kuiandika japo kwa woga. Hongera Nipashe mmejeribu
Hakika nchi hii, imekosa uhuru wa habari kabisa!

Hivi magazeti karibu yote, ukiacha Nipashe, muogope kuandika habari za Nape, ambazo ndiyo imekuwa the leading story Kwa mitandao yote??

Au ndiyo mnaogopa kunyimwa matangazo na serikali??
 
Tanzania uwizi ndiyo jadi yetu

Ova
 
Back
Top Bottom