kubwalamaadui
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 328
- 51
Ushahidi uko wapi sasa aliutoa huyo H. Baba?????
leo kwenye kpnd clouds wakat anahojiwa na mchomvu.nenda kwa blog ya mchomvu utaipa interview
Sawa kaka,
sasa kwanini usituwekee hapa mpaka twende kwa mchomvu kwanza huyo mchomvu ndiyo nani..
leo kwenye kpnd clouds wakat anahojiwa na mchomvu.nenda kwa blog ya mchomvu utaipa interview
Mchomvu?
Ndo nani uyo?Baba Johnnn!!
Diamond namkubali Kwenye game huyo Hbaba anatafuta umaarufu tu!
H baba ndio mnyama gani?
Diamond namkubali Kwenye game huyo Hbaba anatafuta umaarufu tu!
BrOTHER from anOTHER mOTHER!!!!Ndo nani uyo?
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
lara 1 unamuona huyu naye ni kubwa la maadui....!!!!nmefurahia evidence yako ya kuibiwa wimbo na idea yako
pole sana mungu atakusimamia.
nawe diamond ndio kusema umeishiwa,nakufagilia sana ila umejishusha kweli kweli
na yeye atasema ulimuibia idea, japo ulitangulia....!!!Hahahahahaaaaaaaaa!!!!!!!!!! ITS A FREE COUNTRY!!!!!!!!! inaonesha THE KINGDOM IS GROWING!!!!!!!!!! Inabidi nika copyright trade mark kwa Max.