hongera h-baba

hongera h-baba

kubwalamaadui

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2012
Posts
328
Reaction score
51
nmefurahia evidence yako ya kuibiwa wimbo na idea yako
pole sana mungu atakusimamia.
nawe diamond ndio kusema umeishiwa,nakufagilia sana ila umejishusha kweli kweli
 
sasa kwanini usituwekee hapa mpaka twende kwa mchomvu kwanza huyo mchomvu ndiyo nani..
 
Diamond namkubali Kwenye game huyo Hbaba anatafuta umaarufu tu!
 
Diamond namkubali Kwenye game huyo Hbaba anatafuta umaarufu tu!

ndio wale wale kasoro tarehe.watz ndio maana twazid kurud nyuma.hapa tunaongelea uwezo wa diamond au wizi!we vipi!wawapi!mke wako akchukuliwa na tajr mkubwa ukaenda kushtak alafu ukaambiwa hata hv yule ana uwezo unatataka tu umaarufu.
think big
 
nmefurahia evidence yako ya kuibiwa wimbo na idea yako
pole sana mungu atakusimamia.
nawe diamond ndio kusema umeishiwa,nakufagilia sana ila umejishusha kweli kweli
lara 1 unamuona huyu naye ni kubwa la maadui....!!!!
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahaaaaaaaaa!!!!!!!!!! ITS A FREE COUNTRY!!!!!!!!! inaonesha THE KINGDOM IS GROWING!!!!!!!!!! Inabidi nika copyright trade mark kwa Max.
na yeye atasema ulimuibia idea, japo ulitangulia....!!!
 
Back
Top Bottom