Hongera Harmonize kwa hii nyimbo (Matatizo)

Hongera Harmonize kwa hii nyimbo (Matatizo)

Kuna tatizo kubwa sana kwenye kutumia neno ,"nyimbo".Na hata kwenye vyombo vya habari watangazaji wengi wana hili tatizo.

Tujifunze kidogo hapa:

Nyimbo=(wingi wa neno "wimbo").
Unapotaka kuzungumzia wimbo mmoja ukasema "nyimbo hii",utakuwa unafanya kosa kubwa sana la kimuundo kwenye lugha hii adhimu ya kiswahili.

Tutamke hivi hili tuwe sahii:Wimbo huu mzuri sana.AU

"Nyimbo hizi ni nzuri sana"

Ahsanteni sana waswahili wenzangu,kidogo kidogo tutaelewa tu!
 
Kuna tatizo kubwa sana kwenye kutumia neno ,"nyimbo".Na hata kwenye vyombo vya habari watangazaji wengi wana hili tatizo.

Tujifunze kidogo hapa:

Nyimbo=(wingi wa neno "wimbo").
Unapotaka kuzungumzia wimbo mmoja ukasema "nyimbo hii",utakuwa unafanya kosa kubwa sana la kimuundo kwenye lugha hii adhimu ya kiswahili.

Tutamke hivi hili tuwe sahii:Wimbo huu mzuri sana.AU

"Nyimbo hizi ni nzuri sana"

Ahsanteni sana waswahili wenzangu,kidogo kidogo tutaelewa tu!
Hili=ili
 
I'm an opposite team ila huu wimbo ni mzuri, kuhusu kuiga sioni tatizo coz wanafanya mziki wa aina moja, mbona hujasema lucky dube anamuiga bob marley.

Wewe jamaa lucky dube hakuwahi kuimba kama bob..kwanza hata angemuiga asingempatia kamwe..hakuna aliyeweza kumuiga bob mpaka sasa nini dube hata wanawe wa kuwazaa mwenyewe wameshindwa kumuiga baba yao
 
Kuna tatizo kubwa sana kwenye kutumia neno ,"nyimbo".Na hata kwenye vyombo vya habari watangazaji wengi wana hili tatizo.

Tujifunze kidogo hapa:

Nyimbo=(wingi wa neno "wimbo").
Unapotaka kuzungumzia wimbo mmoja ukasema "nyimbo hii",utakuwa unafanya kosa kubwa sana la kimuundo kwenye lugha hii adhimu ya kiswahili.

Tutamke hivi hili tuwe sahii:Wimbo huu mzuri sana.AU

"Nyimbo hizi ni nzuri sana"

Ahsanteni sana waswahili wenzangu,kidogo kidogo tutaelewa tu!


Afadhali umemsaidia bi. FaizaFox maana bila yeye tusingefikia hatua hii ya kiswahili humu JamiiForums
 
Wimbo ni mzuri sana, hii yakusema anamuiga sauti DIAMOND alishaielezea mara nyingi anapohojiwa ila watu wanajifanya hawaelewi.

Tuiangalie - Bado ya Harmonize na DIAMOND je, sauti ya Harmonize haisiskiki hapo ???




Hata Plies walisemaga anamuiga Lil wayne ila alipomshirikisha waliona tofauti kabisa.

 
mbona mimi sioni kama kamwiga diamond
naonaga kama kila mtu ana sauti yake
diamond ana kasauti kake tofauti kabisa na mwanamziki yoyote

jamaa anaimba kivyake labda tu sauti zimefanana ila sio kuiga
 
duh..hii thread inashuka kiushabiki au masikio yangu...nyimbo mbaya kweli,sii hii si ile ya papa wemba wala ya rich mavoko!kuna kitu hakiko sawa wapie maproducer wao na rythim zao....kuna kitu kinakosekana.Ni ushauri,wakichukulia chuki,sawa kila la kheri!
 
Back
Top Bottom