Hongera Husna Abdul na Gea Habib

nshalu bila shaka we utakuwa unapenda umbeaa sana vipindi gani vya kuskiliza hivyoowe jinsia gani
 
Hata wewe B'REAL unapenda sana umbeya ndiyo ukausoma huu uzi. Tena ni mbeya priffessional vinginevyo usingeusoma huu uxi. Lol!
nshalu bila shaka we utakuwa unapenda umbeaa sana vipindi gani vya kuskiliza hivyoowe jinsia gani
 
Hii sehemu ya ma intellectual mnavyobishana mnawapa sifa mnao wajadili
 
nawa uso ulale! huna soni!ukisikia wivu wa kijunga ndo huu!eti redi hii ipo?sasa kama si ushamba ni kitu gani kuna redio kwa sasa inayotamba kama hii mpaka utapike ivyo?

Dah hii redio kumbe ipo,kitu ni 93.7 ndio gumzo la mjini kwa sasa.
 
Hata wewe B'REAL unapenda sana umbeya ndiyo ukausoma huu uzi. Tena ni mbeya priffessional vinginevyo usingeusoma huu uxi. Lol!

haya bana mi mgeni wasalimie chuo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…