Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,620
- 27,589
Ni mtu maarufu pekee kwa wasanii ambae ambae umetoa ya moyoni kuhusu maandamano achana na yule Nyumbu anaezekea kwao na ndio maana Mungu hampi mtoto kwa laana za kila sehemu View attachment 756443
Ndio naandamana kabisa nishaanda na quran yanguMama sabry kesho utaandamana?
YesHuyu chalii kumbe ana akili...
Linyumbu lile subiri maandamano yapite hasira zote tunammaliziaaaNimempenda bure bure.
Shida ya mastaa wengi wanapenda kunyenyekea na kutumiwa kama toilet paper. Kama linyumbu
Linajichetua sana. Halafu anafanya ujinga juku ana biashara na lipstick zake za kubabua midomoLinyumbu lile subiri maandamano yapite hasira zote tunammaliziaaa
TutamfurahishaaaLinajichetua sana. Halafu anafanya ujinga juku ana biashara na lipstick zake za kubabua midomo
Kichwa cha Arusha hicho ndo maanaHuyu chalii kumbe ana akili...
Nyumbu kesho yupo arusha. Nataman wamshikishe adabu aache tako moja hukoTutamfurahishaaa
Labda muda unavyozidi kusogea pressure nayo inaongezekaAmejiamini nini?
hata kuandika hujui, bahali ndo nini?tone la damu bahalin aliwez badil rangi ya maji ya bahal