BOMBAY
JF-Expert Member
- Apr 16, 2014
- 4,732
- 3,508
Vp mama Sabrina maandamano umefanyia wapi?Ndio naandamana kabisa nishaanda na quran yangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vp mama Sabrina maandamano umefanyia wapi?Ndio naandamana kabisa nishaanda na quran yangu
Pale round about nimepigwa teke hilooooVp mama Sabrina maandamano umefanyia wapi?
[emoji3] [emoji3] [emoji3] teke limekupata sehemu gani!Pale round about nimepigwa teke hiloooo
Kwenye makalio [emoji24][emoji24][emoji24][emoji3] [emoji3] [emoji3] teke limekupata sehemu gani!
Nacheka tuu mkuu...Nyinyi hamjamuelewa Idris
Kama una umbo kama la da mange poleeee..ila kama una umbo la wema hongera maana hilo teke ulilopigwa limeishia kwenye nyama halijagusa mfupa.Kwenye makalio [emoji24][emoji24][emoji24]
Hivyo hivyo tuKama una umbo kama la da mange poleeee..ila kama una umbo la wema hongera maana hilo teke ulilopigwa limeishia kwenye nyama halijagusa mfupa.
watu wameusoma kama idhaa ya kiswahili BBC[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ila wangeelewa ...Nacheka tuu mkuu...
Huu ujumbe wa Idrisa inahitaji akili kuuwelewa, lakini watu wameusoma kama hadithi za Shigongo..[emoji23] [emoji23]
jibu leo tenaNdio naandamana kabisa nishaanda na quran yangu
Pole Naomba nije nikuchue basiHivyo hivyo tu
Polisi wenyeee hawa!!!!watakuingilia kinyume na maumbile. Tupe mrejesho, ulinurika kweli jana???Mi naandamana uchi watanikamata??!!
Mkuu uyu Jamaa ni ambassador Wa mambo ya amani ndo mana aling'ata akapuliza kwa mbali hahaAmejiamini nini?
Ni mtu maarufu pekee kwa wasanii ambae ambae umetoa ya moyoni kuhusu maandamano. View attachment 756443
MmhInafurahisha sana kuona watu maarufu nao wanaliunga mkono hili jambo
Wakipatikana wasanii kama kumi wakifanya kama alvyofanya idris itasaidia katika mbio zetu za kumtoa nduli madarakani
Viatu vikatike miguu ivunjike kesho tujitahidini tujitokeze kwa wingi