Hongera JK na Mama Salma

Hongera JK na Mama Salma

Asalam-aleykum. baba na mama hongereni kwa upendo kufikisha 2O years .bila uvumilivu.kwa pande zote mbili hamungekuwa hapo mlipo .tena mmpendeza sana.mama mashaallah!!. hiyo nguo kama kazaliwa nayo!.baba halikadhalika. mmependeza!!!.wenye chuki zao hatuwakatazi . nywele zimependeza mtindo huo kama unakichwa kimekaa ovyo husukwi ng'oo!!!!!! hawakumuona alie kua hapendezi? mdomo huponza kichwa.huyu mama ni mpole tena ana hekima muone sura yake inajieleza.kapendeza!!.
 
...chukua tano kamjingijingi, niliyasema haya mwanzoni nawe umeyaona,...

"...there is a Goodwoman of noble character!"

Asalam-aleykum. baba na mama hongereni kwa upendo kufikisha 2O years .bila uvumilivu.kwa pande zote mbili hamungekuwa hapo mlipo ...huyu mama ni mpole tena ana hekima muone sura yake inajieleza.kapendeza!!.


" the wise woman builds her house, but with her own hand the foolish one tears hers down!"
methali 14:1


" better to live in a corner of a roof than to share a house with a quarrelsome wife"
methali 21:9

The wife of Noble character
" Her husband has full confidence in her and lacks nothing of value"
methali 31:11
 
Back
Top Bottom