Hongera Jokate na UWT kwa kuwashika mkono Hanang wakati huu wa shida

sinza pazuri

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
3,344
Reaction score
9,066



Anaandika Jokate kupitia twitter.

"UWT kwa kutambua waathirika wakubwa wa majanga kama haya ni akina mama na watoto, leo tumefanya kikao cha dharula na kuanza zoezi la kutafuta vifaa vya kuwasaidia wakina mama na watoto walioathirika na maafa Hanang, Manyara.

"Kwa siku ya leo tumeanza na kuweza ku-mobilize kutoka kwenye mfuko wetu na marafiki zetu;
  • Magodoro mapya 200
  • Pair za khanga mpya 1000
  • Madera mapya 520
  • Mashuka mapya 400
  • Mablanketi mapya 150
  • Mikeka mipya
  • Vikoi vya kujifunika, sabuni, mafuta, nguo za watoto, vyombo vya kulia na kupikia nk.
"Mzigo tayari uko njiani kuelekea Hanang na viongozi wetu wa kitaifa watagawa kwenye makambi yaliyoandaliwa kuhifadhi wahanga katika kipindi hiki cha mpito.

"Tunawakaribisha watakaoguswa kuleta michango ya vifaa kwenye ofisi zetu."

Hongera sana kwa kuwashika mkono ndugu zetu awa wakati huu ambao hata kipande cha sabuni kinawafaa sana.

Katesh watakukumbuka maisha yao yote, akufaae kwa dhiki ndio rafiki wa kweli.
 
huyu namuona kwenye uwaziri bila shaka
 
UWT imetoa wapi Fedha hizo Kama sio za Serikali?

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 

Vitapeli na Vifisadi vinavyotengenezwa na CCM machine vipo kazini .....!!
 
Mbona naona wamepiga picha na magodoro Tena viongozi pekee yao?. Shida wao wanafanya kisiasa.
 
Hiyo ni temporary solution.

Sijaona mkakati wa kujengewa makazi kwa waliopoteza makazi yao.
 
Kongole kwao.

Majanga kama hayo yawe motisha kwa serikali kujiandaa mapema kuwasaidia wahanga na sio kusubiria misaada.
 
Soma vizuri maelezo yao kama hauna tatizo la ufahamu
Wewe msssssenge innocent dependent unapenda kuongea uongo kisa tu dayamondi anakutatua marinda. Wewe matterco lokole tunakujua vizuri shoga wewe mpigwa miti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…