Bachelor ll
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 4,106
- 6,678
MRaPS ndio nini na ina matumizi ganBado MRaPS ziko njiani...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MRaPS ndio nini na ina matumizi ganBado MRaPS ziko njiani...
Mine Resistance Ambush Protected vehicles..MRaPS ndio nini na ina matumizi gan
Mimi ndio namalizia kozi ya kuliendeshaNalipongeza JWTZ kwa kumiliki gari madhubuti la kivita aina ya Humvee.
Nilikuwa napitia wikpedia nikaona hiyo taarifa kwamba kwa East Africa ni Tanzania na Uganda kwa mbali.
Humvee sio gari la kitoto ni gari la deraya matata sana na kwenye uwanja wa Vita ni super utility to have.
Halipinduki hovyo kutokana na lilivyoundwa ni pana na fupi hivyo lina stance.
Hongera JWTZ.
Mzee hiz nina wasi wasi tushazibadil rangi. The last 3 weeks niliziona kadhaa za kutosha zimebebwa kwenye ma roller pale kambi ya JW mkabala na Mkapa stadium ila zilikua na rangi nyeupe halafu zina chapa ya UN
Haya magari yalichakazwa sana huko Iraq, ingia net ujionee mwenyewe mkuu yalivyo lazwa chali cha mendeHumvee sio gari la kitoto ni gari la deraya matata sana na kwenye uwanja wa Vita ni super utility to have.
Halipinduki hovyo kutokana na lilivyoundwa ni pana na fupi hivyo lina stance.
Hongera JWTZ.
Mine Resistance Ambush Protected vehicles..
Sisi tunajisifia kwa kumiliki kagari kamoja wakati wenzetu wanapimana ubavu kwa kumiliki mitambo heavy ya kulinda anga + makombora ya masafa marefu achilia mbali drones!Nalipongeza JWTZ kwa kumiliki gari madhubuti la kivita aina ya Humvee.
Nilikuwa napitia wikpedia nikaona hiyo taarifa kwamba kwa East Africa ni Tanzania na Uganda kwa mbali.
Humvee sio gari la kitoto ni gari la deraya matata sana na kwenye uwanja wa Vita ni super utility to have.
Halipinduki hovyo kutokana na lilivyoundwa ni pana na fupi hivyo lina stance.
Hongera JWTZ.
Aah wapi?...tunachombeza tuNa hizi wamenunua?
Hv ikitokea ukaingia vitani na hao waliotengeneza magari hayo madini nakuwaje!!?Nalipongeza JWTZ kwa kumiliki gari madhubuti la kivita aina ya Humvee.
Nilikuwa napitia wikpedia nikaona hiyo taarifa kwamba kwa East Africa ni Tanzania na Uganda kwa mbali.
Humvee sio gari la kitoto ni gari la deraya matata sana na kwenye uwanja wa Vita ni super utility to have.
Halipinduki hovyo kutokana na lilivyoundwa ni pana na fupi hivyo lina stance.
Hongera JWTZ.
wakati huo hutaki yanunuliwe maana wananchi hawana sukari[emoji38][emoji38][emoji38].Sisi tunajisifia kwa kumiliki kagari kamoja wakati wenzetu wanapimana ubavu kwa kumiliki mitambo heavy ya kulinda anga + makombora ya masafa marefu achilia mbali drones!
Kweli safari yetu bado ndefu.
Mhh hizo ni balaa USA wamezitumia sana huko kwa Talaban na Iraq,ila TZ nyoko sana ukiwaona kama wapo wapo tuuBado MRaPS ziko njiani...
Na ChademaKwa hiyo wanakuja kupigana na nani
Mimi nilifikiri wamebuni tractor au tumegundua hata mashine za maana kumbe ni kutumia pesa za fukara la wewe kuagiza silaha?Iyo ni kazi njema ya serikali ya awamu ya tano chini ya jemedari Magufuli
Ni sawa na karubandika mmoja kujivunia kumiliki pikipiki wakati kuna watu wanamiliki Vitu vya thamani zaidi.Sisi tunajisifia kwa kumiliki kagari kamoja wakati wenzetu wanapimana ubavu kwa kumiliki mitambo heavy ya kulinda anga + makombora ya masafa marefu achilia mbali drones!
Kweli safari yetu bado ndefu.
Hongera sana ila wazee wa taliban walikuwa wanayabutua na mizinga.Nalipongeza JWTZ kwa kumiliki gari madhubuti la kivita aina ya Humvee.
Nilikuwa napitia wikpedia nikaona hiyo taarifa kwamba kwa East Africa ni Tanzania na Uganda kwa mbali.
Humvee sio gari la kitoto ni gari la deraya matata sana na kwenye uwanja wa Vita ni super utility to have.
Halipinduki hovyo kutokana na lilivyoundwa ni pana na fupi hivyo lina stance.
Hongera JWTZ.