Superman
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 5,693
- 1,702
Kwa wale waliopata nafasi ya kufika Viguza Village Hotel huko Mkuranga watakubaliana na mimi kuwa mwekezaji amejitahidi kufanya kweli na kuonyesha mfano kuwa hata Watanzania tunaweza Ku-Invest katika Hotel Sector kama tukiamua.
Hotel imejengwa vizuri na huduma zake pia wanajitahidi sana . . .
Nilipodadisi ni nani mmiliki wa Hotel hivyo . . . Nilielezwa kuwa inamilikiwa na Kamanda Mstaafu wa Kanda Maalumu ya Kipolisi DSM - Commissioner Tibaigana . . .
Hongera sana Kamanda kwa mafanikio hayo . . . .
Habari ndo hiyo . . .
Hotel imejengwa vizuri na huduma zake pia wanajitahidi sana . . .
Nilipodadisi ni nani mmiliki wa Hotel hivyo . . . Nilielezwa kuwa inamilikiwa na Kamanda Mstaafu wa Kanda Maalumu ya Kipolisi DSM - Commissioner Tibaigana . . .
Hongera sana Kamanda kwa mafanikio hayo . . . .
Habari ndo hiyo . . .