Hongera Kamanda Tibaigana - Viguza Village Hotel

Hongera Kamanda Tibaigana - Viguza Village Hotel

pia tukumbuke ..hata mkaona mtu leo anadhalilika baada ya kustaafu na nafasi alikuwa nayo ya kuwa na uwezo halali...mjuwe kama asingeendekeza ulevi na ngono..basi angekuwa mbali.....ngono na ulevi vingekuwa bati na tofali angekuwa na majumba mengi tu.....!!!...siku hizi tujifunze kuchukuwa wanawake kwa mali kauli!!!...wengine ...tumezowea mali kauli na waala hatukosi....

Umenena, kule kwenye thread ya Mzee Mgonja, watu wanamfanyia postmortem marehemu, wanamchanachana ile mbaya, kisa amekufa maskini.

Kamanda Tiba kaza buti, ukistaafu lazima ujue ni jinsi gani utajikimu maisha yako badala ya kuwa ombaomba.
 
Phillemon Mikael
Phillemon Mikael has no status.
JF Premium Member Join Date: Sun Nov 2006
Location: mwanza,/uk/santa clara
Posts: 2,118
Rep Power: 27

Thanks: 138
Thanked 1,249 Times in 604 Posts
Credits: 165,272

Re: Hongera Kamanda Tibaigana - Viguza Village Hotel

--------------------------------------------------------------------------------

pia tukumbuke ..hata mkaona mtu leo anadhalilika baada ya kustaafu na nafasi alikuwa nayo ya kuwa na uwezo halali...mjuwe kama asingeendekeza ulevi na ngono..basi angekuwa mbali.....ngono na ulevi vingekuwa bati na tofali angekuwa na majumba mengi tu.....!!!...siku hizi tujifunze kuchukuwa wanawake kwa mali kauli!!!...wengine ...tumezowea mali kauli na waala hatukosi


Mkuu hongera kwa hilo ,,ila bado usijisifie sana unaweza kuchukua mwanmke kwa mali kauli akaja kukumaliza ama kuchota zaidi ya yule ambae ungempata kwa cash akatimua zake,,yaani tofauti ni kwamba wewe ukichota kwa mali kauli unataka kuwekeza wenzako hawaitaji uwekezaji....wanachimba madini kama buliankuru wanalipa kodi lakini dhahabu inachukuliwa mpaka na mchanga wake!!jaribu na hii sec opt uone ipi bora!!
 
Hongera kamanda kwa investment hii.!!!!!!! You are a risk taker!!!! Nani mbia wake??? Nadhani atakuwa Adadi Rajabu maana huyu ndiye aliyebariki biashara ya unga kuenea Tz na alikuwa mdau wake mkubwa. He must be rich ehhhhhh!!!! Utajiri mwingine una walakini kama ule wa mafisadi wa EPA. Tuwe makini katika kusifiwa maendelea ya mtu. Pengine kuna mtu alipoteza uhau au kukosa huduma ndipo mtu anapata utajiri. Je utajiri wa aina hiyo ni wa sifa au tusemeje??? Sitasifia tena tajiri unless nimepata uhakika wa source ya utajiri wake. Tiba wakatii wa Mahita na Adadi alijiwekea noti sana. Kidogo wakati wa Mwema watu wakamtonya atulie ili amalize vizuri, na alijitahidi kuficha makucha. Hongera mstaafu wetu.
 
Wakuu,
Nilisikia huyu Kamanda naye ni Fisadi tu; kuna jamaa mmoja alinitonya kuwa wakati Rais JK alipokwenda China alipokea malalamiko kibao kuhusiana na wafanyabiashara wa china wanao export from TZ. Ilisemekana kuwa hawa wachina walidhulumiwa bidhaa zao na kutaifishwa kwa kubambikiziwa makosa yasiyo ya msingi. Na kati ya waliotajwa ni huyu Kamanda ktk kuhusika na kuwaibia hao wachina. Habari zinasema kuwa baada ya JK kutoa sera zake huko China nao wachina wakampa malalamiko yao. Then wakati JK anarudi akipokelew airport akakataa kumsalimia Kamanda akisema kuwa hawezi kusalimiana na wezi. Ndipo mtoa habari anakonect kwamba JK akasema astaafu tu aende zake. Sasa hiyo ndo habari nimeipate mtaani, kama kuna mtu naye ana story inafanana anaweza ku connect the dots..
 
Tunampongeza kwa uwekezaji huo, lakini kwakuwa alikuwa mtumishi wa serikali (pato lake lilitokana na kodi zetu) tuna haki ya kuuliza source ya fund? je, ni kutoka kwenye personal savings over years, au ni mkopo kutoka bank au ni urithi au from his professional earnings (if any)!
 
Wakubwa,na hiyo Mwanzo lodge ya huko Mkuranga ni ya nanai?Nilidhani ndiyo ya mzee Tibaigana

Mzalendo Lageneral;

Mwanzo Park Lodges inamilikiwa na Kijana mwenzetu Mzalendo Peter A. Vava [pav@mwanzoparklodges.co.tz]. Yeye pia ni Mwanachama hai wa TPN.

Kabla ya hapo alikuwa Consultant wa Celtel na maekuwa akizunguka kila kona ya nchi kuhusiana na coverage expansion na huko ndiko alikogundua ni namna gani Watanzania tuko nyuma na ni vipi wasio wazalendo wanavyofanya biashara ya Hotel visivyo.

Kutokana na savings zake na mkopo amweza kujenga Hotel hii na bado anendelea na phase nyingine.

Hakika anastahili pongezi sana na wote inafaa kuiga mfano wake. Natoa mwito kwa kila mwenye nafasi na atakayependa kutembelea Mwanzo Park Lodges afanye hivyo ili kumuunga mkono na kumtia moyo.
 
Mzalendo Lageneral;

Mwanzo Park Lodges inamilikiwa na Kijana mwenzetu Mzalendo Peter A. Vava [pav@mwanzoparklodges.co.tz]. Yeye pia ni Mwanachama hai wa TPN.

Kabla ya hapo alikuwa Consultant wa Celtel na maekuwa akizunguka kila kona ya nchi kuhusiana na coverage expansion na huko ndiko alikogundua ni namna gani Watanzania tuko nyuma na ni vipi wasio wazalendo wanavyofanya biashara ya Hotel visivyo.

Kutokana na savings zake na mkopo amweza kujenga Hotel hii na bado anendelea na phase nyingine.
Hakika anastahili pongezi sana na wote inafaa kuiga mfano wake. Natoa mwito kwa kila mwenye nafasi na atakayependa kutembelea Mwanzo Park Lodges afanye hivyo ili kumuunga mkono na kumtia moyo.

Asante kwa hiyo info.......! pia good to hear kuwa amejenga hiyo lodge kutokana na personal savings + mkopo (hopeful kutoka bank), on personal savings je, alikuwa ameajiriwa sehemu au kuna biashara nyingine alikuwa anafanya?
 
Naona mzee Tiba pia siku hizi ameingia TFF. Labda stars kuna siku italala huko Nkuranga.
 
Asante kwa hiyo info.......! pia good to hear kuwa amejenga hiyo lodge kutokana na personal savings + mkopo (hopeful kutoka bank), on personal savings je, alikuwa ameajiriwa sehemu au kuna biashara nyingine alikuwa anafanya?


Mbona umeambiwa aliajiriwa Celtel?
 
Back
Top Bottom